mghafilika ingependeza sana ile post aliyoi edit dudus ukaiweka kwenye post yako ya kwanza ili watu wajadili na waone jinsi kodi inavyotumika kwa watu kuipotezea muda mahakama.Mkuu ni sawa kabisa nisinge paswa kuku zui kuweka sawa kwani mimi nilifupisha kwani kunamahali nilikuwa na wahi asante mkuu kwakuweka sawa
Najaribu kutafakari siku hakimu atakapopiga kile kifimbo chini na kusema mshakiwa huna kesi na kesi imefutwa kutokana na kesi hii inaonekana ni kama kesi ya kusingiziwa! Sijui pale mahakamani patakuaje?
Hv kwa wale wenye ujuzi na sheria kidogo,hakuna kipengele kinachowezesha jamaha kupata kifungo iwapo itathibitika wametoa ushahidi wa uongo?
Mkuu mgafilika; niruhusu ni-edit post yako hapo juu:
Shahidi wajana dhidi ya wakili wa Lema Kimomogoro yalikuwa kama ifuatavyo:
Wakili: Umesema maneno gani yamekuuma Lema aliyatamka?
Shahidi: Swala la kuolewa zanzibar liliniuma sana
Wakili: Umesema ilikuuma wewe hukutaka aolewe zanzibar? Haikukupendeza?
Shahidi: Mimi ilinipendeza ila Lema haikumpendeza kabisa
Wakili: Nani alikujulisha Lema haikumpendeza Batilda kuolewa zanzibar uliyatoa wapi?
Shahidi: kutokana na swali lako ndiyo maana nikakujibu hivyo.
Baada ya mahojiano ya Kimomomgoro kumalizika alifuata wakili wa serekali Masanja kumuhoji shahidi kama ifuatavyo:
Wakili: Umezaliwa wapi?
Shahidi: Karangai kata ya kibwe tarafa ya mbuguni wilaya ya Arumeru
Wakili: Leo wewe ni mkazi wa wapi hapa Arusha mjini?
Shahidi: mkazi wa sokoni 1 mtaa wa makao mapya
Wakili: Kwa hiyo wewe sio mkazi wa karangai siyo?
Shahidi: Ndiyo
Wakili: Nini kilisababisha usiwe mkazi wa karangai na sasa uwe mkazi wa sokoni 1
Shahidi: Nimeolewa
Wakili: Kwa hiyo kilichosababisha usiwe mkazi wa karangai na uwe leo mkazi wa asokoni 1 ni kuolewa siyo?
Shahidi: Ndiyo
Wakili: Unamfahamu Dk Batilda?
Shahidi: Ndio ninamfahamu kwa kumwona kwenye picha
Jaji: Hujamuona ana kwa ana kwa macho tangu uzaliwe?
Shahidi: Sijawahi kumuona
Wakili: Pia unafahamu kwamba amoelewa?
Shahidi: Nasikia tu ameolewa
Wakili: Mume wake unamfahamu?
Shahidi: Simfahamu
Wakili: Unafahamu kwamba mume wake anaishi Zanzibar?
Shahidi: Sifahamu ila nimesikia kwamba anaishi Zanzibari
Wakili: Ulipoolewa toka karangai ukahamia sokoni 1, Batilda alipoolewa akahamia kwa mume wake Zanzibar ni kosa?
Shahidi: Sio kosa
Wakili: Hivi kuolewa katika jamii ni sifa mbaya au nzuri?
Shahidi: Ni sifa nzuri
Wakili: Kwa hiyo mtu akisema Amina Ally ameolewa sokoni 1 atakuwa amekupo sifa mbaya au nzuri?
Shahidi: Ni sifa nzuri
Wakili: Kwa hiyo mtu akisema Batilda ameolewa Zanzibar atakuwa amesema vibaya?
Shahidi: Atakuwa amesema vizuri
Jamani kwa mwenye uelewa wa sheria, hivi role ya wakili wa serikali kwenye kesi kama hii (za uchaguzi) huwa ni nini? Kidogo hoja zake zimeniacha kwenye dilema.
hao mashahidi kama walikula kiapo watafutwe wayiwe ndani wasituchee kupotezeana watu muda
Hao mashaidi wa kichina inatakiwa wapigwe kama mwaka behind bars..liwe funzo kwa wengine
Mkuu mgafilika; niruhusu ni-edit post yako hapo juu:
Shahidi wajana dhidi ya wakili wa Lema Kimomogoro yalikuwa kama ifuatavyo:
Wakili: Umesema maneno gani yamekuuma Lema aliyatamka?
Shahidi: Swala la kuolewa zanzibar liliniuma sana
Wakili: Umesema ilikuuma wewe hukutaka aolewe zanzibar? Haikukupendeza?
Shahidi: Mimi ilinipendeza ila Lema haikumpendeza kabisa
Wakili: Nani alikujulisha Lema haikumpendeza Batilda kuolewa zanzibar uliyatoa wapi?
Shahidi: kutokana na swali lako ndiyo maana nikakujibu hivyo.
Baada ya mahojiano ya Kimomomgoro kumalizika alifuata wakili wa serekali Masanja kumuhoji shahidi kama ifuatavyo:
Wakili: Umezaliwa wapi?
Shahidi: Karangai kata ya kibwe tarafa ya mbuguni wilaya ya Arumeru
Wakili: Leo wewe ni mkazi wa wapi hapa Arusha mjini?
Shahidi: mkazi wa sokoni 1 mtaa wa makao mapya
Wakili: Kwa hiyo wewe sio mkazi wa karangai siyo?
Shahidi: Ndiyo
Wakili: Nini kilisababisha usiwe mkazi wa karangai na sasa uwe mkazi wa sokoni 1
Shahidi: Nimeolewa
Wakili: Kwa hiyo kilichosababisha usiwe mkazi wa karangai na uwe leo mkazi wa asokoni 1 ni kuolewa siyo?
Shahidi: Ndiyo
Wakili: Unamfahamu Dk Batilda?
Shahidi: Ndio ninamfahamu kwa kumwona kwenye picha
Jaji: Hujamuona ana kwa ana kwa macho tangu uzaliwe?
Shahidi: Sijawahi kumuona
Wakili: Pia unafahamu kwamba amoelewa?
Shahidi: Nasikia tu ameolewa
Wakili: Mume wake unamfahamu?
Shahidi: Simfahamu
Wakili: Unafahamu kwamba mume wake anaishi Zanzibar?
Shahidi: Sifahamu ila nimesikia kwamba anaishi Zanzibari
Wakili: Ulipoolewa toka karangai ukahamia sokoni 1, Batilda alipoolewa akahamia kwa mume wake Zanzibar ni kosa?
Shahidi: Sio kosa
Wakili: Hivi kuolewa katika jamii ni sifa mbaya au nzuri?
Shahidi: Ni sifa nzuri
Wakili: Kwa hiyo mtu akisema Amina Ally ameolewa sokoni 1 atakuwa amekupo sifa mbaya au nzuri?
Shahidi: Ni sifa nzuri
Wakili: Kwa hiyo mtu akisema Batilda ameolewa Zanzibar atakuwa amesema vibaya?
Shahidi: Atakuwa amesema vizuri
Jamani kwa mwenye uelewa wa sheria, hivi role ya wakili wa serikali kwenye kesi kama hii (za uchaguzi) huwa ni nini? Kidogo hoja zake zimeniacha kwenye dilema.
Wakuu ile kesi ya kupinga ubunge wa mh Lema mashaidi waendelea kukimbia na mawakili wa upande wa washitaki yani akina musa nkangaa wameomba kubadilisha hati ya mashitakaya kesi hiyo ndipo wakili wa mh Lema akakata akasema haiwezekani kwani kesi hiyo tayari imekwisha kusikilizwa na jaji akasema kesho ndiyo atatoa hukumu hiyo
Pamoja Mkubwa, hapa jamvini twakutegemea sana kwa Updates za yatakayojiri hapo kesho. Sasa ndo naanza pata mwanga ni kwanini jaji ndo aliyekuwa wa kwanza kuikacha hii kesi !!
Mkuu usijali hukumu hiyo ina somwa mida ya saa 7 mchana nikienda nitawajuza yanayo jiri
Nikatika hali ya kushangaza toka jana baada ya kesi kuhairishwa hadi leo ndipo mashaidi walipoanza kurushiana maneno na hatimaye kupelekea mashaidi leo kutouzuria mahakamani mchana wa leo ndipo wakili waupande wao kuomba kesho atawaleta mambo yamekuwa magumu kwao kwa kutoa ushaidi wa uongo wanaanza kukimbiana wenyewe