Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nikatika hali ya kushangaza toka jana baada ya kesi kuhairishwa hadi leo ndipo mashaidi walipoanza kurushiana maneno na hatimaye kupelekea mashaidi leo kutouzuria mahakamani mchana wa leo ndipo wakili waupande wao kuomba kesho atawaleta mambo yamekuwa magumu kwao kwa kutoa ushaidi wa uongo wanaanza kukimbiana wenyewe