LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,198
Tatizo lenu huwa mnamtumia simba kama Direction yenu kuwa mna timu njema ila Simba ya sasa ni mbovu kweli kweli ile simba sio Timu ya kujipima kwa sasa ipo shida sana sana simba huwa inabadilika ikiingia Makundi CAF ila msimu huu bado kitendawili
Tatizo lenu mliitumia michuano ya shirikisho kama kigezo cha nyie kujiona ni Bora ila hadi sasa timu mlizochuana nazo mwaka jana karibia zote kwa sasa hazipo Caf zinapumulia Gesi,
Mwarabu aliewapiga 3 jana kwa mpira anaocheza nawahakikishia atawapiga na ndani pia mkubali wale jamaa mpira wanajua, Alahly nae mkikazana sana mtatoa Draw hapa ila msipokuwa makini atawapapasa hapa hapa shida yenu huwa mnamtazama simba Ndio mnajua na nyie mtapitia mule mule ila nawaambia simba ikishaingia kwenye hii michuano huwa inakuwa timu ya tofauti
Alahly kwa sasa lazma atakuwa amejipanga atawatandika kote kote
Tatizo lenu mliitumia michuano ya shirikisho kama kigezo cha nyie kujiona ni Bora ila hadi sasa timu mlizochuana nazo mwaka jana karibia zote kwa sasa hazipo Caf zinapumulia Gesi,
Mwarabu aliewapiga 3 jana kwa mpira anaocheza nawahakikishia atawapiga na ndani pia mkubali wale jamaa mpira wanajua, Alahly nae mkikazana sana mtatoa Draw hapa ila msipokuwa makini atawapapasa hapa hapa shida yenu huwa mnamtazama simba Ndio mnajua na nyie mtapitia mule mule ila nawaambia simba ikishaingia kwenye hii michuano huwa inakuwa timu ya tofauti
Alahly kwa sasa lazma atakuwa amejipanga atawatandika kote kote