ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,117
- 3,495
Ukisoma comments ndio utajua wana jf wa siku hizi iq ndogo.
Kuna mmoja kauliza wanatoka tabata msata wanafuata nini! Huyu ni trash.
Acha na yule alokoment ati kwenye tv unaoneshwa why wasafiri kwenda mpaka huko! Huyu ni garbage.
Kuna aliosema bora wangepata ajali wakiwa wanapambania katiba mpya! Huyu ni nya kabisa.
Kuna aliosema ati ye anasikilizaga kwa redio tu hana hata muda wa kuangalia kwenye tv kwa hiyo alitaka wote wafuate kama yeye?
Daah jf members are no longer gt.
Kuna mmoja kauliza wanatoka tabata msata wanafuata nini! Huyu ni trash.
Acha na yule alokoment ati kwenye tv unaoneshwa why wasafiri kwenda mpaka huko! Huyu ni garbage.
Kuna aliosema bora wangepata ajali wakiwa wanapambania katiba mpya! Huyu ni nya kabisa.
Kuna aliosema ati ye anasikilizaga kwa redio tu hana hata muda wa kuangalia kwenye tv kwa hiyo alitaka wote wafuate kama yeye?
Daah jf members are no longer gt.