Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6

Revola

JF-Expert Member
Apr 14, 2015
1,408
1,157
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Nje ya mada Azam kadhamini timu ngapi nbc
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Nilimsikia Legend George Masatu akilalamikia udhamini wa GSM kwa timu nyingi nikamdsharau sana ingawa alipokuwa bado akipiga mpira nilikuwa namkubali sana. Azam TV bado inadhidhamini timu zote japoikuwa kamuni ya Azam inamiliki Azam FC. Miaka ya Nyuma kidogo SportPesa ilikuwa inadhamini timu zote hadi miaka mitatu tu iliyopita ndipo Simba wakaingina mktaba na M-bet hawakulalamika.

Kwa mantiki yao ni kwamba hata wao walipbondwa 5G nao walikuwa wamelipwa na GSM. Upuuzi kabisa. Kwa Lugha nyingine, kile kipigo cha Prisons kilitokana na Simba kununliwa na GSM
 
Izo ni akili ya watu Jamii ya Kisugu,Jamii iyo ndio iliyo shauri viongozi wa mbumbumbu Fc kuacha uwanja wa Chamazi kwenda kucheza kwenye Jaruba kule Morogoro.
Sasa kule kwenye majaruba Kuna timu zinaupiga mwingi kuliko wao sijui itakuaje.

Aya malalamiko yatazidi kuongezeka Kila gap la point na Yanga linavyo ongezeka.
Tegemea malalamiko ya kipuuzi kabisa kuliko unayo yasikia Sasa.
Wamesha sahau Azam anatimu Ligi kuu na ni mdhamini wa vilabu vyote vya ligi kuu.

Kitu Muhimu ni kuhakikisha mnara wa Rage unajengwa kama tulivyo kubaliana ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vinavyo pale msimbazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom