Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 104
Hivi cah ajabu ni nini?labda ukumbi ulilipuka kwa kumshangaa kuingia mjengoni baada ya kutolewa manake ni wachache wenye guts za kurudi wakati wakishapigwa bao!ukitaka kumjua huyu jamaa ingia YOUTUBE then search MASHA kuna clip alikua anajigamba baada ya kumtangaza Wenje kuwa sio raia!inachekesha sana!na inaonyesha wazi ni jinsi huyu bwana asivyopenda Demokrasia.