Masela wasome hii watapata kitu

Mambo vipi.

Masela wasome hii watapata kitu

Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko

Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.

Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.

Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.

Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.

Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.

Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
huyo jamaa sio msela

Masela hatuwapi wanawake wasio waaminifu nafasi ya kuondoka tukiwa hatupo

Lazima tuwepo na akishaondoka kufuri tunaweka jipya

Mwizi wa mapenzi moja kwa moja anaweza kuwa mwizi wa vitu vingine pia
 
Mambo vipi.

Masela wasome hii watapata kitu

Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko

Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.

Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.

Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.

Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.

Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.

Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
Katika haya maisha sisi ndio tunaamua ni kitu gani kitupe stress na kitu gani kisitupe stress.

Ukiwa na uwezo wa kudogosha kila tatizo kubwa basi u me win stress
 
Wakati mnaanza malove davi anakuwa wa ukweli sana na kumkandia mshikaji. Uongo mwingi kwamba hawana mawasiliano hata hajui yupo wapi. Ngoja sasa ujichanganye. Kuna mmoja watoto wetu walikuwa wanasoma shule moja. akanipanga hajui kabisa jamaa yupo wapi.
Siku moja tumepeleka watoto shule, ametumiwa slip anatakiwa kuprint, si akasahau akanipa niprint. Kumbe kalipiwa ada na mzazi mwenzie.
Single moms ni kama viwanja vyenye mgogoro.
 
Mambo vipi.

Masela wasome hii watapata kitu

Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko

Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.

Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.

Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.

Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.

Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.

Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
Sijaelewa
Anapitia wkt mgumu kwa kukimbiwa na malaya?
 
Amemtolea mahari? Yaani amemuoa au wanaishi pamoja tu? Kama hawajaoana, amteme huyo mwanamke haraka, kosa kubwa tunalofanyaga wanaume ni kumsamehe mwanamke mjinga na kuamini atabadilika.
 
Jamaa ampotezee apambane kwa kasi zaidi ya mwanzo ,yawezekana alikwepeshwa na jambo kubwa ,mwache aende vitu hutafutwa tu.
 
Amemtolea mahari? Yaani amemuoa au wanaishi pamoja tu? Kama hawajaoana, amteme huyo mwanamke haraka, kosa kubwa tunalofanyaga wanaume ni kumsamehe mwanamke mjinga na kuamini atabadilika.
1. Kwahiyo akitolewa mahari ndio anaacha umalaya?

2. Kwani kuoa na kuishi pamoja what a difference?
 
Huyo mwanamke atakuja kukuomba msamaha, mrudiane. Baada ya huyo mzazi mwenzie kumfukuza. Nawe utamsamehe ulivyo mdhaifu
 
Oya, anachanganya pale anapokwambia eti mtoto anakupenda🤣 ukiangalia mtoto anapenda kula tu
 
Mambo vipi.

Masela wasome hii watapata kitu

Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko

Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.

Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.

Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.

Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.

Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.

Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
MBON KAMA IMERUDIWA HII,NISHAWAI KUISOMA HII HUMU HUMU
 
Tatizo hamshauriki, MWANAMKE MWENYE MTOTO MUOGOPE KAMA UKOMA. HAO NI KULA NA KUTEMBEA TU. AKILETA MASWALA YA MTOTO UNAKUWA MKALI SANA.
 
Single mother ni hatari sana Nina mengi ya kusema kuhusu single mother ila we acha tu wanaume wenzangu mwanamke akishazalishwq na akaachwa hafai Tena kuolewa narudia Tena mwanamke aliyezalishwa na kuachwa hafai kuolewa , mwenye kusikia na asikie msije kusema hamkuambiwa
 
Mambo vipi.

Masela wasome hii watapata kitu

Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na mtoto na mtu mwingine kabla ya mchizi.
Ila hawaishi na huyo mtoto yupo kwa bibi ake uswahilini huko

Miaka yote hiyo Mwanamke alikuwa fresh tu ila akaanza mizinguo kama miezi 6 iliyopita. Kuna muda hataki kumpa jamaa tendo, kawa jeuri mpaka anamtukana mchizi sometimes.

Sasa mchizi akawa anaenda kwa ndugu wanasuluhisha haipiti week mambo yanajirudia.

Mwisho wa siku jamaa ikabidi aanze uchunguzi ajue ni nini hasa kinasababisha hayo yote.

Akaja kugundua wife ana simu mbili, moja huwa anaiacha kwa jirani shoga yake wanawasiliana na baba mtoto wake mapenzi motomoto wanataka kurudiana.

Jamaa akamwambia wife aende kwao atamfata azungumze na wazazi wake akaenda zake job. Kurudi usiku kakuta wife kasafisha nyumba kaondoka na kila kitu, mchizi kwenda nyumbani kwao mwanamke hawampi ushirikiano wowote na hawataki arudiane tena na mtoto wao na kaambiwa ata mtoto siyo wake.

Jamaa anapitia wakati mgumu sana ila kaamua tu kuanza moja maisha mengine yaendelee.
Aisee.
 
Nanukuu "kaambiwa hata mtoto siyo wake" yaani walikuwa wakijuwa ila walikuwa wakimchora tu na huduma anatoa! Ndiyo maana matukio ya mauaji yanazidi kuongezeka kila kukicha, wanawake wengi ni wezi na matapeli.
 
Back
Top Bottom