Masanja Umechemsha bro!!

Nawashangaa sana wasanii wa Tanzania. Hivi huwa wanasahau kwamba wanapenda na watu wa aina tofauti tofauti? Wangejua nafasi yao kwenye jamii hata wasingesimama kwenye majukwaa ya siasa wangehamasisha tu watu kupiga kura!
 
"mimi sio bro wako acha kujipendekeza" massanja mkandamizaji
 
Inasikitisha sana yaan pamoja na wizi wote ule halafu mtu anasema eti chaguo la Mungu, Mungu gani anataka watu waibe. Yaani mimi nikimkuta magu peponi mimi natoka kwa dhulma zake za wazi.
 
Ametuaabisha afu usaniii wake wa kusifia kitu bila kujuaa hadhira ni kukusa maarifa ameabisha wasaniii wrote sijui walimwogopa wenzake wakati wa mazoezi au ni nini ni madudu Yale afu yanpromotiwa kwenye taarifaa ya habari...
 
Maendeleo yapi? Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? au pesa za walipa kodi?
Maendeleo yanatokana na usimamizi bora wa Kodi za wananchi. Wenye uwezo wa kusimamia vema Kodi ya wananchi kwa Sasa ni CCM. Wengine mlikuwa mnapata pesa nyingi za ruzuku inayotokana na Kodi za wananchi wanyonge pia, lakini mmeshindwa kujenga hata ofisi ya chama. In other words Kodi yote ya wananchi iliyoelekezwa kwenu iliishia kwenye mifuko ya wachache.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…