ROGATH MCHAU
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 569
- 1,012
UMEMSAHAU YULE MAMA ALIESEMA USHINDI KWA CCM HAUNA MUNGU AKIPENDA, USHINDI WA CCM NI WA LAZIMA.Mlisema Lissu chaguo la Mungu? Huyo mungu wenu muongo mbona chaguo lake limepigwa chini? Shetani Sasa ameshajulikana maana mlisema shetani hawezi kumshinda Mungu, Sasa chaguo la shetani chali.
Beyond satire, alisema naniiSijaona Kosa lolote Masanja kusema hivyo / hayo sana sana naona tu 'Chuki' zako kwa Mshindi Rais Magufuli na chama chake bora hadi Mbinguni.
Maendeleo yapi? Kwani maendeleo ni Hisani za CCM? au pesa za walipa kodi?Masanja Mkandamizaji ndo msanii aliyefanya kampeni kubwa , hasa akijikita kwenye kuelezea mafanikio ya serikali ya awamu ya tano kupitia sanaa. Anakipenda Sana chama na nchi.
Msanja siyo msukuma mke ndiyo msukumaMsukuma mwenzake lazima wasifiane.
Achana nao
Mpangwa wa Ludewa Ubaruku anafanyia shughuli za kilimo sio kwao.We nae hebu ficha ujinga wako.Masanja ni Mnyakyusa wa Ubaruku Mbeya kile kisukuma anaigiza tu.
Kakingereza kake ni kale ka kuunga unga alikosoma miezi sita British councilAfu linaongea kwa kiingereza eti ili wageni walielewe bora lingemaliza kwa kiswahili tu
Chuki? Kwa hiyo waliomkosoa yule aliyemfananisha YESU na JPM nao wanachuki? au yule aliyesema "MUNGU amshukuru sana JpM" watu wakamjia juu nao wana chuki na Rais?Sijaona Kosa lolote Masanja kusema hivyo / hayo sana sana naona tu 'Chuki' zako kwa Mshindi Rais Magufuli na chama chake bora hadi Mbinguni.
Mimi pongezi za kwanza kwa kudhibiti CORONA nawapa watanzania wote ambao waliitikia kwa pamoja tahadhali zilizokuwa zinatolewa hasa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni na kutokusalimiana.Watanzania walipiga nyungu kwa pamoja kwa bidii kubwa wakala malimau tangawizi kwa pamoja kwa bidii kubwa wakatumia vitamini C kwa pamoja ndiyo maana maambukizi ya corona hayakusambaa kutokana na hilo zoezi kufanyika kwa bidii kubwa pasipo kuchoka, siyo magufuli wala nani kaizuia corona acheni kumpa sifa si zake, cha kushukuru ni mwitikio wa watu kutumia hizo kinga bila kuchoka mpaka sasa wengi hunywa tangawizi.
Kwamba anauza Sembe? Maybe ila naona kama analimalima mpunga na Sadaka,hii ndiyo naisikia leoMasanja ni punda anatafuta kulindwa na dola ili asikamatwe! Weledi wanajua maana ya punda!
Mbeba mizigo.Masanja ni punda anatafuta kulindwa na dola ili asikamatwe! Weledi wanajua maana ya punda!
Ni guy sio gay. Samahani lakini.Sikujua kuwa the gay is so stupid. Leo katuabisha sana mbele ya wageni.
Mkuu kila mtu uwa anasifia anakokula, ukiwa pembeni lazima upate hasira. We achana naye pambana tu nawe ipo siku utakuwa unasifia wengine wamekaa pembeni wanapta hasira wanakuona snitch tu.Kolabo la wasanii wa bongo fleva kumpongeza Mh Rais, limetiwa doa na maneno ya Masanja Mkandamizaji.
1.Eti JPM ndiye Rais pekee duniani anayemuamini Mungu 100%. Hivi ana takwimu gani na Imani za Ma rais? Toka lini kumwamini Mungu imekuwa sifa ya urais hapa TZ? Huyo Mwl. Nyerere anayemsema yeye alisema hata asiyekuwa muumini tutamuapisha kuwa Rais. Hapa Masanja umechemka.