pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,465
- 6,109
Nchi yetu haina uwajibikaji kwa kiwango kikubwa.
Inashangaza mtu aliyetangazwa haradharani kuwa ni fisadi anataka kwenda ikulu bila hata ya kujisafisha.
Kuna watu wamo kwenye List of Shame lakini bado wanang'angania uongozi .
Mwizi ni mwizi tu na ndio maana wengine na ndio maana wengine waliendeleza kwenye Escrow.
Inashangaza mtu aliyetangazwa haradharani kuwa ni fisadi anataka kwenda ikulu bila hata ya kujisafisha.
Kuna watu wamo kwenye List of Shame lakini bado wanang'angania uongozi .
Mwizi ni mwizi tu na ndio maana wengine na ndio maana wengine waliendeleza kwenye Escrow.