philltaya
Member
- Sep 5, 2015
- 53
- 11
Pamoja na matamko ya viongozi wakuu wa nchi lakini awa viongozi wa mikoa na wilaya sikujui kama wanafuatilia maagizo ipasavyo!!?kwanini masai bado wanakiburi juu ya kukatazwa kuingiza mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima kuchumgia lakini bado wanachungia,na mkulima akimtaka atoe mifugo yake majibu yanayo toka kwa mfugaji anamuuliza mkulima ng`ombe ikale wapi na kumtishia kumpiga.viongozi wa vijiji inaoneka wanamaslai na wafugaji,ukipeleka kesi polisi,polisi wanakupa rb ili ukamkamate mfugaji,mpaka wewe unaenda polisi unamaanisha umeshindwa na kuchoka,sasa inakuwaje polisi wenyekusimamia hilo wanakupa rb huku wanajua utendaji wa viongozi wa vijiji walivyo!!?mkuu wa wilaya ya mvomero unajua kinachofanywa na wafugaji kijiji cha menge kitongoji cha vianzi chini ya mwekiti wa kijiji Bwana chapakazi?kiukweli wakulima wananyanyaswa na wafugaji je ni kweli hizi taarifa hazipo ofisini kwako?je ujui tatizo kubwa lililopo katika wilaya yako?tafadhali mkuu wa wilaya tatua tatizo tatizo ni zito kuliko hata unavyofikiri.wafugaji wana maeneo yao kwanini wasiende?kwenye hili serikali inapata kigugumizi gani mpaka leo wafugaji kung`ang`ania kwenye mashamba ya wakulima?picha uaribifu unaofanywa na wafugaji
eti huna siraha ukamkamate mfugaji hivi polisi jukumu lao ni nini bado sielewi kabisa dhana ya jeshi la polisi katika hili!!!!!!