KUNGURUHAFUGIKI
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 346
- 74
kuna masai mmoja alikuwa nje ya mlango wa kanisa amekaa wakati ibada inaendelea mara mchungaji akapita mlangoni akamuona akamuuliza YERO mbona uko nje
MASAI; unasani mi ni mjinga nimesikia wakisema kuna SIMBA YA YUDA iko inaunguruma.
MCHUNGAJI; akabaki kushangaa.!
MASAI; unasani mi ni mjinga nimesikia wakisema kuna SIMBA YA YUDA iko inaunguruma.
MCHUNGAJI; akabaki kushangaa.!