BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Katika hali isiyo fikiriwa kwa mh dk d masaburi amesisitiza usemi wake wa wabunge wanafikiri kwa kutumia makalio yao unabaki hivyo hivyo hatoomba yoyote msamaha na yuko radhi kutoa ushahidi na kama wamekasirika waende mahakamani
mh masaburi anasema yuko kwa ajili ya kulinda wananchi na mali zao na kama kuna wanaomuonea wivu wajue sasa ameanza hiyo machinga ani trlla wasubiri picha zaiid alisisitiza mh masaburi
kazi ipo wazee wa magamba
mh masaburi anasema yuko kwa ajili ya kulinda wananchi na mali zao na kama kuna wanaomuonea wivu wajue sasa ameanza hiyo machinga ani trlla wasubiri picha zaiid alisisitiza mh masaburi
kazi ipo wazee wa magamba