Masaada please

Masaada please

MAMENGAZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
779
Reaction score
129
Naomba msaada, laptop yangu inakataa kuingiza umeme, nikiwasha umeme tu taa ya adapter inawaka kidogo then inazima na zoezi huwa linaishia hapo. nifanyeje?
 
Soma manual za laptop ambayo hujataja yako kuangalia procedure za troubelshoting

Tafuta jinsi ya kidischarge kabisa laptop alafu jaribu kuwasa. kama bado mambo ni yale yale

Tatizo laweza kuwa power adaptor au power suppply ndani ya MOBO au

So dowalod manual ya laptop mtandano soma troubleshoting tips zake.
 
Bonyeza kitufe cha kuwashia na uhold kama sekunde 30 hivi bila kuchomeja adapter kisha subiri kama sekunde 30 tema kisha chomeka na washa
 
Soma manual za laptop ambayo hujataja yako kuangalia procedure za troubelshoting

Tafuta jinsi ya kidischarge kabisa laptop alafu jaribu kuwasa. kama bado mambo ni yale yale

Tatizo laweza kuwa power adaptor au power suppply ndani ya MOBO au

So dowalod manual ya laptop mtandano soma troubleshoting tips zake.

Thanks Mtazamaji, laptop yangu ni hizi dell latitude, nitafanya kama ulivyoniagiza nione kama nitafanikiwa.
 
Bonyeza kitufe cha kuwashia na uhold kama sekunde 30 hivi bila kuchomeja adapter kisha subiri kama sekunde 30 tema kisha chomeka na washa
Thanks mysteryman, i will try that too.
 
Battery yako ina shida..... jaribu kuweka battery nyingine kisha ujaribu kucharge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom