Masaa 24 yameshapita

Heeeyyy


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Saddam Hussein aliruhusu wakaguzi wakimataifa,jaribu kua na kumbukumbu nzuri,Wakati wa vita vya Iraq na Iran (Vita ya Ghuba ya Uajemi) kwa zaidi ya miaka 8 Saddam alipata support ya US,Nchi kama US inaangalia maslahi yake,Mbona Rwanda waliuana Wahutu na Watusi lakini hawakuingilia? Hata US kuna watu hupigwa risasi mchana kweupe na kuna kesi kibao za Polisi weupe kuwapiga black,Siasa ni zaidi unavyoijua mkuu,haya mambo hua yana siri kubwa iliyofichika.
 
EMBU TUACHENI KIDOGO TUNAOMBOLEZA VIFO VYA WACHAGA WENZETU ATI HAMNA HATA ROHO YA HURUMA NA UBINADAMU
 
Hii ngumu kumeza huko JIWE lile komwe lake linawaka moto.
Hapa ndio ataona umuhimu wa wanadiplomasia wenye nchi yao.
 
Yes kuna kesi kibao kwa maana kuna watu wameshtakiwa. Lini hapa umesikia matukio yote yaliyotokea kuna mtu kakamatwa au kuna kesi.
 
Mkuu mbona ile ya kufukuza mashoga umeiluka...acha kukimbia kivuli chako watu wote wanafahamu makonda kapigwa ban baada ya kuyafurusha mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba Niipongeze serikali kwa kimya hiki.. Hili sio jambo la kukurupuka tena... Hata kidogo... Kuna mlolongo wa matukio yatafuata baada ya hili... Hivyo linahitaji muda wa kutosha weledi na hekima kwenye kulitolea tamko

Jr
Ni kweli mkuu ila nafikiri cha kufanya ni kwa serikali kwanza kushukuru kwamba marekani wametusaidia kuliona tatizo ambalo muda wote hatujaliona,pili iombe msamaha kwa marekani na kujutia kosa hilo n kukili kutorudia tena. Tatu iombe ushauri wa nini cha kufanya ili tuendelee kuonekana vizuri mbeya ya jamii ya kimataifa,nne serikali imkamate makonda na kumkabidhi kwa serikali ya marekani ili imshughulikie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi ni kama imepigwa ganzi, ndugu watanzania wenzetu wamekufa huko Moshi kwenye ajali ya Mafuta
Hizi ajali za mafuta zimekuwa aibu kwa taifa letu.
Mara mafuta yaliyomwagika kwenye ajali ya gari yameuwa watu.
Mnasahau kisa hiki unasikia kuna mtumishi wa Mungu kaona malori ya mafuta haya anguki kamwaga kwa makusudi mafuta yake ya upako watu wauwane!

CC: Mshana Jr
 
Wamarekani wamesema wanazo taarifa za kutosha kuwa BASHITE ndio kiongozi wa watekaji na wapotezaji watu sasa unategeme nani aongee hapo
wanaogopa kuongea..maana wao ndio victims wakuu...makonda ni mbwa tu wamfuga mbwa ukiona ana bweka ujue ametumwa...ama anataka kumfurahisha mfugaji wake
 
😃😃😃inasikitisha ..inachekesha pia
 
Uyo mwamposa wa kazi gani achangii chochote serikalini hakatwi kodi sasa anatuulia ndugu zetu wa kazi gani mpuuzi mmoja tu apigwe bani aende uko nigeria kwa wenzie hatuna shida nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesi ya mauaji si ndogo mkuu, hasa ukibaini mtu uliyemtuma keshabainika na 'vyombo vya dola'

Anyway tuwaombee marehemu wetu na wafiwa. Tamko la Rais pia linahitaji juu ya yote. Hapa ndio kipimo Cha busara ya kiongozi kinatakiwa kitamalaki.
Kabisa, kaka mkubwa anapokemea jambo fulani, unatakiwa upime kila kauli itakayokutoka vinginevyo ni bora utumie busara ya kukaa kimya kulinda diplomasia na economic sanctions,
 
Mbona hukutaja kuwa kadhibiti panyaroad, watoto zaidi ya 500 wamepata huduma ya moyo bure, uwajibikaji umeongezeka kwa kuwadhibiti ikiwemo kuwakamata wakandarasi wavivu na watumishi wabadhirifu, walemavu zaidi ya elfu moja walipata miguu ya bandia, akina mama waliopigwa mimba na kutelekezwa wamepata haki ya matunzo. Amejenga hospital kubwa ya mama na mtoto kwa msaada wa korea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…