Masaa 24 yameshapita

Kwani hao siyo viongozi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna mambo mawili yaliobakia, either serikali yetu itutoe kafara raia million zaidi ya 50 au atolewe kafara mmoja aliezua hili balaa lote.
Walala hoi amabo mnaona kwenda marekani ni dili ndio imekula kwenu. Hakuna cha serikali kutoka tamko wala nini hebu rudini vijijini tulime mvua zinanyesa

God save us
 
Kumekuwepo na taarifa ya Mzee Mkapa kwenda kumwona Jiwe pale Ikulu.

Kama ni kweli, nahisi lazima kuna taarifa hao "Mabeberu" wamempenyezea amfikisie Jiwe kabla hawajafanya wanalo kusudia. Kumpiga STOP Makonda si sawa na kufanya hivyo kwa Waziri wa Foreign Affairs!

Wanayofanyiwa wapinzani hapa ndani huwezi kuwafnayia watu wa nchi nyingine na Tanzania si kisiwa. Kama mataifa ya Ulaya Magharibu wanaufyata kwa Marekani, sembuse Tanzania!

Na tusije tukajidanganya kwamba hawajui yote wafanyayo viongozi wetu. Wanajua fika nani aliwatuma waliokusudia kumuua Tundu Lissu.
 

Ana apisha wateule......hajaongea? uswahilini wanasema wapenda Mic wanzikimbia siku hizi
 
Mbona hata kwa Saddam Hussein wa Iraq walisema kua wana ushahidi kua Saddam ana silaha za WMD? Je walizikuta hizo silaha mpaka leo? Wameua watu na hakuna kilichopatikana mpaka leo hii!
 
Hakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi yule ROMA msanii wetu yuko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hao hao wameiweka Libya kwenye machafuko na leo Libya wanatamani yule gwiji Gadafi afufuke nasi tunataka kuwasujudu wamarekani amini ipo siku tutalia na kuwatolea maneno machafu hao wamarekani kwa kusema kuwa tungejua
Mbona hata kwa Saddam Hussein wa Iraq walisema kua wana ushahidi kua Saddam ana silaha za WMD? Je walizikuta hizo silaha mpaka leo? Wameua watu na hakuna kilichopatikana mpaka leo hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wamarekani wamekua chanzo kikubwa cha machafuko katika mataifa mengi duniani hasa katika bara la Africa tufikili zaidi nasi pia juu ya kile walicho lenga kwani hata katika VISA yao wamesema kuwa nchi zilizo zuiliwa wanapaswa kukubaliana na maafisa wao wa usalama kufanya kazi kwa ushilikiano na nchi husika kwangu naamini si bure kunakitu kimelengwa hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hata kwa Saddam Hussein wa Iraq walisema kua wana ushahidi kua Saddam ana silaha za WMD? Je walizikuta hizo silaha mpaka leo? Wameua watu na hakuna kilichopatikana mpaka leo hii!
Suala la Saddam ni suala la kisiasa zaidi alikuwa anatishia maslahi yao mapana ya kiuchumi na watu waote wanajuwa ilikuwa ni hali ya kutafuta idhini ya kimataifa na mbaya zaidi Saddam alikuwa anawatisha kuwa anazo silaha kwa kukataa kuruhusu wakaguzi kwa kudhani itamsaidia ila hilo sio suala la Makonda hawana maslahi naye na zaidi siku nyingi wanasema fanyeni uchunguzi kimyaa haiwezekani matukio kibao eti asishikwe mtu hata mmoja inaweza kuwa sio yeye lakini lazima majibu yapatikane ni nani huyo anafanya upuuzi huu. kumbuka kuna watu kibao wamepotea au kutekwa wakati fulani lakini kweli hakuna mtu hata kushukiwa?? hapa wamemtaja mtu mmoja hawajasema nchi sasa usiniambia Mkuu wa mkoa anatishia maslahi yao. hapana kuna mambo hayasemwi na ni lazima yasemwe. Serikali ina mtandao mkubwa ukitishia maslahi ya nchi utajulikana kabla ya matukio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…