Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,800
- 113,358
Ila wadau mna moyo, mnatongoza fake ID😂Mshangazi hata avatar yake haivutii, binafsi siwezi mfuata kamwe😅😅😅
Ila wadau mna moyo, mnatongoza fake ID😂Mshangazi hata avatar yake haivutii, binafsi siwezi mfuata kamwe😅😅😅
mshamba_hachekwi hawezi tongoza kurubambe kama hilo la niniKwenye hio list mshamba_hachekwi hayupo kweli? Anapenda mishangazi huyo.
Maweed....Weka ushahidi apa nani akutongoze wewe Acha kujikweza,gundu limekujaa et vivulana kwanza humu hakuna wavulana
Mkuu sina cha kuongeza , ukisema wewe kuhusu mishangazi hakuna mjadala tena😅Sizani kama anajiamini...
Na yote haya kwa kuwa hana zile T tatu tatu...
Yaani Tako,Titi na Tumbo...
Hivo kiufupi ni local antiel ambaye anataka vijana wamfate serious sasa 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa mkuuWeka ushahidi apa nani akutongoze wewe Acha kujikweza,gundu limekujaa et vivulana!!!!! kwanza humu hakuna wavulana
Bila kuchoka mkuuMaweed....
Majaniii
😂😂😂😂🇨🇦🇨🇦🇨🇦🙌
ID yako ya zamani ni ipi?Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
😂😂😂😂😂 Nikisema ni kama muswada kasoro saini ya rais tuuMkuu sina cha kuongeza , ukisema wewe kuhusu mishangazi hakuna mjadala tena😅
🏃 🏃 🏃Mkuu kwani upweke ni nini?
Wewe ndio raisi wa mashangazi humu😅😅😂😂😂😂😂 Nikisema ni kama muswada kasoro saini ya rais tuu
Kwa anonymity Ids shangazi unatukosea sana adabu kwa kusema uongo.Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
Glass 🍷 MPYA mvinyo wa zamani au mvinyo MPYA glass ya zamaniNi kama miezi 3 kwenye social networks nyingine.
Ila JF vivulana vinatongoza sana PM.
Ni kama vimetumwa kunijaribu.
🤣🤣😅😅😅kumeanza kuchangamka
🤣🤣Mkuu kwani upweke ni nini?
Kabisa😊Nzuri kabisa mkuu
Uko poaaa?😄
Toto zuri la kikurya.Wala sina uhanga wowote, watu hutoa shuhuda zao humu, mnawaibukia PM na huwa mnawaomba hela wadada humu, mnakuja kuanikana hapahapa.