...she is just okay..looks a bit conservative..but with certain weakness...yes inaonekana yupo rigid na ana kaushamba fulani angalia mapete aliyovaa ya Gold lakini hayako classic.....amechonga kwa wale sonara wanaochanganya gold na copper...hilo cheni lake ndio la kishamba kabisa
My experiece with classic women..mh she will not be among them....hapo angetupia cheni moja ndogo lakini expensive..na wajanja hawazitundiki mbele kubwa vile kama mnyonyoro wa mbwa...
Pete kimberly classic....simple unavaa moja tu au mbili...
Angalia Gauni alovaa ..la dukani alafu la kichina....ni yale ya shilingi 25,000 wanaovaa kinamama wauza ndizi....ila kwa mshamba kama yeye watakuwa wamempiga 80,000[si wanaletewaga ofisini hawa?]
Kifupi hajajanjaruka na inaonekana she is just following what she is told to do ...sio rahiisi akawa na msimamo wake kama yeye....ila ni mzuri wa kusimamia anachoagizwa tu...like a robbot!!