Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
wachache wataweza fatiria comic kutokana na kutowekwa kwenye Pdf na wabongo wavivu kudownload program zenye kuaccess comic zao!..Mie ni mshabiki wa Marvel. Nimeangalia movie zote za Marvel Cinematic Universe mpaka movie ya mwisho ambayo Ant-man and the Wasp. Nimeangalia Universe ingine ya kina Xmen nadhani nimeangalia zote. Nna comics kadhaa marvel.
DC watasubiri sana kwa marvel