Taarifa kutoka TAMISEMI, kwenda kwa maafisa wa Takwimu kwa njia ya fax, zinasema kuwa Waalimu walioshiriki mgomo wasiandikwe kusaidia katika zoezi la sensa. Je bila waalimu zoezi hili litafanikiwa?
Kuna kundi gani katika jamii lenye kufanya kazi hiyo kama sio waalimu? je serikali itabagua kuwaacha wale walioenda kufundisha wakati wa mgomo? Kama waalimu hawatashiriki sensa kuna haja gani shule kufungwa?
Nawasilisha kila mtu afuatilie kule alipo ila barua hiyo iliyotumwa kwa fax nimeiona, nikipata mwanya nitaleta hapa jamvini.
Kuna kundi gani katika jamii lenye kufanya kazi hiyo kama sio waalimu? je serikali itabagua kuwaacha wale walioenda kufundisha wakati wa mgomo? Kama waalimu hawatashiriki sensa kuna haja gani shule kufungwa?
Nawasilisha kila mtu afuatilie kule alipo ila barua hiyo iliyotumwa kwa fax nimeiona, nikipata mwanya nitaleta hapa jamvini.