Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
1. 04-02-2006 - Mifuko ya plastiki marufuku
Source Bofya hapa
Serikali imechukua hatua kali na za haraka kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Katika hatua hizo, serikali imepiga marufuku utengenezaji, uagizaji, uuzaji, ununuzi na matumizi ya mifuko ya plastiki laini na ile ya kufungia maji ya kunywa na maji ya matunda.
2. 07 September 2007 - Wauza mifuko ya plastiki watupwa jela Dar
Source Bofya hapa
3. 18 -01- 2011 - Pinda apiga marufuku mifuko ya plastiki
Source Bofya hapa
My Take:
1. Ina maana ile marufuku ya Dr. Shein ilikuwa imefutika (haifanyi kazi?)
2. Marufuku (Ban) za serikali ni lini zitaanza kuheshimiwa, nakumbuka pia kuna marufuku kuingiza gari ya abiria ikiwa na abiria kituo cha mafuta Vp imetekelezeka?
3. Hawa wakuu hawaoni wanaingia katika mtego wa kutoaminiwa na wala kutokuchukuliwa kiumakini matamko yao? Maana inaonekana ni kusemasema tu?
4. Hizi marufuku huwa zina lengo la kumfurahisha nani?
Source Bofya hapa
Serikali imechukua hatua kali na za haraka kudhibiti uharibifu wa mazingira nchini. Katika hatua hizo, serikali imepiga marufuku utengenezaji, uagizaji, uuzaji, ununuzi na matumizi ya mifuko ya plastiki laini na ile ya kufungia maji ya kunywa na maji ya matunda.
2. 07 September 2007 - Wauza mifuko ya plastiki watupwa jela Dar
Source Bofya hapa
3. 18 -01- 2011 - Pinda apiga marufuku mifuko ya plastiki
Source Bofya hapa
My Take:
1. Ina maana ile marufuku ya Dr. Shein ilikuwa imefutika (haifanyi kazi?)
2. Marufuku (Ban) za serikali ni lini zitaanza kuheshimiwa, nakumbuka pia kuna marufuku kuingiza gari ya abiria ikiwa na abiria kituo cha mafuta Vp imetekelezeka?
3. Hawa wakuu hawaoni wanaingia katika mtego wa kutoaminiwa na wala kutokuchukuliwa kiumakini matamko yao? Maana inaonekana ni kusemasema tu?
4. Hizi marufuku huwa zina lengo la kumfurahisha nani?