ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,821
Tukifikia hatua hii ya sekta nyeti kukumbwa na uhaba wa Dola basi yajayo ni Changamoto zaidi.
Ushauri Kwa Serikali izuie Moja kwa Moja Uagizaji wa bidhaa zisizo za lazima zilizojaza maduka yetu Ili vitu vya msingi visikosekane.eg furnitures,urembo,Baadhi ya nguo na vitu vinginevyo kama hivyo.
Kwa nini Hadi Leo Bado mafuta ya kula kutoka Nje yanaingia ndani wakati wakulima Wetu wamelima vya kutosha? Saruji ya Nje ya Nchi unaingia ndani kufanya nini?
Mwisho hii ndio hasara ya kuwa net importer badala ya kuwa exporter,hapa tuanze mikakati ya kuishi kimkakati Kwa kuchagua bidhaa ambazo hatuna ushindani mkubwa hasa za Kilimo,mifugo na uvuvi tuzipe uwekezaji wa kutosha ndani ya mda Fulani Ili tuwe net exporters.Hii tabia ya kwenda jumla jumla bila malengo yanayopimika imeligharimu Taifa Kwa miaka Mingi sana,Tume ya Mipango Lisaidieni Taifa.
My Take
Mwenzako akinyolewa zako tia maji,tulimcheka jirani kumbe na sisi tuko kwenye Hali hiyo hiyo.
Bidhaa Kumi zilizogharimu fedha nyingi zaidi kuagiza nje ya nchi (2022):
1.Mafuta-Trilioni 8
2.Mitambo- Trilioni 5.9
3.Chuma- Trilioni 2.5
4.Vipuri- Trilioni 2.2
5.Plastiki- Trilioni 1.78
6.Mbolea- Trilioni 1.1
7.Madawa- Bilioni 789
8.Ngano- Bilioni 696
9.Magari- Bilioni 668
10.Vyakula na Vinywaji -Bilioni 419
Ushauri Kwa Serikali izuie Moja kwa Moja Uagizaji wa bidhaa zisizo za lazima zilizojaza maduka yetu Ili vitu vya msingi visikosekane.eg furnitures,urembo,Baadhi ya nguo na vitu vinginevyo kama hivyo.
Kwa nini Hadi Leo Bado mafuta ya kula kutoka Nje yanaingia ndani wakati wakulima Wetu wamelima vya kutosha? Saruji ya Nje ya Nchi unaingia ndani kufanya nini?
Mwisho hii ndio hasara ya kuwa net importer badala ya kuwa exporter,hapa tuanze mikakati ya kuishi kimkakati Kwa kuchagua bidhaa ambazo hatuna ushindani mkubwa hasa za Kilimo,mifugo na uvuvi tuzipe uwekezaji wa kutosha ndani ya mda Fulani Ili tuwe net exporters.Hii tabia ya kwenda jumla jumla bila malengo yanayopimika imeligharimu Taifa Kwa miaka Mingi sana,Tume ya Mipango Lisaidieni Taifa.
My Take
Mwenzako akinyolewa zako tia maji,tulimcheka jirani kumbe na sisi tuko kwenye Hali hiyo hiyo.
Bidhaa Kumi zilizogharimu fedha nyingi zaidi kuagiza nje ya nchi (2022):
1.Mafuta-Trilioni 8
2.Mitambo- Trilioni 5.9
3.Chuma- Trilioni 2.5
4.Vipuri- Trilioni 2.2
5.Plastiki- Trilioni 1.78
6.Mbolea- Trilioni 1.1
7.Madawa- Bilioni 789
8.Ngano- Bilioni 696
9.Magari- Bilioni 668
10.Vyakula na Vinywaji -Bilioni 419