Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Uongozi wa Chuo Kikuu cha RUCO cha Mjini Iringa kimepiga marufuku wanafunzi wake wa kike kuvaa suruali na Sketi za kubana, badala yake wanafunzi wa kike wametakiwa kuvaa magauni marefu au Sketi zinazovuka magoti na zisizobana!!
Chuo hicho kinamilikiwa na Kanisa Katoliki Tanzania.
Chuo hicho kinamilikiwa na Kanisa Katoliki Tanzania.