mbona mademu zetu huku St.Augustine mwanza washazoea
sijuhi nini kimenileta huku?
Uongozi wa Chuo Kikuu cha RUCO cha Mjini Iringa kimepiga marufuku wanafunzi wake wa kike kuvaa suruali na Sketi za kubana, badala yake wanafunzi wa kike wametakiwa kuvaa magauni marefu au Sketi zinazovuka magoti na zisizobana!!
Chuo hicho kinamilikiwa na Kanisa Katoliki Tanzania.
sijui Mtwara, Mwenge, Morogoro, Tabora, Bukoba, et al (SAUT colleges zote) sijui wameshaanza hii kitu pia??
nadhani na MUM, TUMAINI, ST JOHNS, TEKU NA vingine mbalimbali hususani vya mashirika ya dini vifanye hivyo!!
Aahaaa kumbe chuoni? Dah....kidogo nidhani nchi nzima aisee!!
Mimi nadhani hata mademu wenyewe wengi wao siku hizi hawapendi wenzao wanaovaa suruali zile zinazobana sana, kwani wakati mwingine zinawaweka wazi sana hasa wakati wa kushuka na kupanda kwenye magari. Chachandu zote huwa nje pamoja na zile G string zao wanazopenda kuzivaa11ngoja tuone.manake kuna watetezi wa haki zisizo haki na uhuru binafsi...