Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,465
- 2,143
Kikubwa kwetu furaha
naomba nisiwe shuda kwa kitakachowakuta bada ya hapoKikubwa kwetu furahaView attachment 1268066
Hahahaa itakua kiswahili kinawapiga chenga kidogoKikubwa kwetu furahaView attachment 1268066
Pengine wamepata kibali cha kufanya photoshootHilo jambo wanalolifanya ni sawa na kuchezea bomu la mkomo...
Hii picha photoshop imehusika sana!!!!Kama ya Gwa'J boy tu!!!!!hhahaha...Kikubwa kwetu furahaView attachment 1268066
Nyie ndo vilaza wakubwa msio jua kusoma wala kuelewaHahahaa itakua kiswahili kinawapiga chenga kidogo
he he ati Nini..?Inategemea kama ni vijana wao sidhani kama watawakuruta
Ila kama umepanik sana mkuu hasa hapo mwishoni....Nyie ndo vilaza wakubwa msio jua kusoma wala kuelewa
Pale mwisho pamendikwa BILA KIBALI hivyo inawezekana hawa wana kibali kutoka jeshi kama huo ubao ulivyoandikwa, kuwa ni marufuku kupiga picha eneo hili wala kukaa kama huna kibali
Hivyo inawezekana wao wakawa na kibali cha kukaa hapo na kupiga picha
Achen uvilaza nyie wasomi wa vyuo vya majararani
LONDON BOY
Unajuaje kama hawakuomba kibali???Hilo jambo wanalolifanya ni sawa na kuchezea bomu la mkomo...