Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,042
- 2,414
Do JF siku hizi sijui ni kitengo cha Masaki.... uzi wangu wa IGP: Marufuku kukaa vituo vya kura... haufanani kabisa na huu... zile coments zilizo tolewa ndo zimehamishiwa uzi huu lakini ile main msg ambayo ilikuwa kama inauliza opinio za wadau na polisi kama uamuzi na matamshi ya IGP yapo kisheria umefutwa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... do hi ni hatari.... nilikuwa naona wadau wanalalamika sasa ndo nimeelewa.... uzi wangu ulikuwa hauongelei sana suala la 100m ila undani wa matamshi ya IGP na labda anaweza kuja na wazo mbadala baada ya kuona comments za wadau.... hapa sasa kilicho fanyika ni total confusion na ile main part imefutwa.... haya bana.... kama nanyi ni sehem ya kitengo.... tutahamia mwanahalisionline.... boring .....