Marufuku kukaa karibu na vituo vya kupiga Kura, inatakiwa kukaa umbali wa mita 100

Mkuu Kwa mazingira ya uchaguzi huu, hilonla kurudi jioni itakua ni goli la mkono..unajua chama kimeshikwa pabaya. Halafu ndio maana mimi nasemaga mara nyingi polisi ndio chanzo cha vurugu. Sasa badala ya kujipanga kuweka ulinzi wa kutosha kuwalinda hao wananchilli watakao baki kwenye huo umbali unaoruhusiwa kisheria, wao wanazuia. Ni wazi kabisa hapo lazma kutakua na fujo maana watu hawatakubali.
Hapo ndo shida nnapo anza iona... Mh. Kinana akiwa mwanza anapinga watu kubaki na IGP anasema wakibaki jeshi litatumia nguvu zidi yao, ila sheria inasema wakiwa mita 100 ni sawa.... sasa what is the way foward.... mi nataka nisubiri matokeo tu tena mita 100.... wakinikamata watanifungulia charges gani??? Je tamko hili liko juu ya sheria??? Au labda mwandishi alivo iweka hii mada hakumwelewa IGP maana kama ni hivo IGP anavunja sheria kitu ambacho sitegemei afanye kwa issue ya hatari kama hii....
 
Amekiuka sheria duh yaani wasimamizi wa sheria leo ndio wanakua wa kwanza kwenda kinyume na sheria kwa matakwa ya watu fulani mmh kwani chaguzi zilizopita watu mbona walikua wanasubiria matokeo safari hii nn kimetokea mpaka dola inatumia mabavu?
Kasubirie nyumbani kwako, wewe si unaye mwakilishi wa chama chako.
 
Mkuu uvunjaji wa sheria ipi? Mbona magamba mkiulizwa hili swali mnapata kigugumizi? Huyo IGP unayempa big up ndio anavunja sheria na hiyo order yake. Sheria inaruhusu watu kukaa na kusubiri matokeo..sharti wakae umbali flani (nadhani mita 100 but sina uhakika). Sasa watu wakitii hiyo sheria na kukaa huo umbali, kuna shida gani? Huu msisitizo wa kwamba watu waondoke ndio unazua maswali zaidi
Hakuna sheria inayo kuruhusu ukae kwenye kituo ulicho pigia kura na usubiri matokeo.
 
Polisi kaeni mbali na vitendo vijavyoweza kuharibu uchaguzi. mtu anaposema watu wasikae hata mita mia ina maana ina maana anavunja sheria ya uchaguzi inayosema ruksa mpiga kura kukaa mita mia tangu kilipo kituo cha uchaguzi.

Hivi hawa viongozi wetu wasiojua hata sheria za uchaguzi zinasemaje huwa serikali inawaokota wapi.
 
Ni kweli. Lakini ipo sheria inayoniruhusu kukaa mita 100 kutoka kwenye kituo kusubiri matokeo.
Hii sheria italeta shida labda mkulu aitishe bunge la dharula waibadilishe.... la sivo naona ugumu sana wa tamko la mhe. Mangu..... kwangu sijawahi ona tamko linalo pingana na sheria kwenye issue sensitive kama hii ya uchaguzi.... otherwise am wrong sheria haisemi hivo....
 
tutalinda kura zetu wenyewe wao wana ccm warudi tu majumbani ila sisi haturudi
 
Hii sheria italeta shida labda mkulu aitishe bunge la dharula waibadilishe.... la sivo naona ugumu sana wa tamko la mhe. Mangu..... kwangu sijawahi ona tamko linalo pingana na sheria kwenye issue sensitive kama hii ya uchaguzi.... otherwise am wrong sheria haisemi hivo....

Yani wabadilishe sheria siku kumi na ushee kabla ya uchaguzi ili kulazimisha watu wasibaki vituoni? Mkuu hiyo itadhihirisha kabisa kwamba wana lao jambo. Mimi hawa CCM naanza kuwatilia sana shaka, maana wangekua kweli hawanza mpango wa kufanya figisufigisu..wao ndio wangekua mstari wa mbele kusema kwamba mawakala wawepo..na watu kama wanataka wakae kusubiri matokeo ni ruksa..ilimradi wakae umbali unaoelekezwa na sheria. Lakini hii ya kulazimisha kwamba watu waondoke..mpaka inafika mahali IGP anatoa order inayokinzana na sheria...hii kwa kweli inanipa maswali mengi sana.
 
Mwakilishi wa chama hapelekei watu matokeo nyumbani !. Matokeo yanabandikwa vituoni ili watu waone matokeo katika maeneo yao waliyopiga kura....

Matokeo yanabandikwa ya kazi gani kama watu hawatakiwi wayaangalie ?

Kasubirie nyumbani kwako, wewe si unaye mwakilishi wa chama chako.
 
hii kitu haiwezekani kukubalika kila chama/mgombea kikihamasisha wafuasi wake wakusanyike kituoni kulinda kura zikihesabiwa itakuwa ni vurugu na uvunjifu wa amani wa kukusudia.

hivyo watu wakipiga kura waondoke kuepusha vurungu za watu walio na misimamo tafauti. polisi tunaomba mlisimamie hilo kwa nguvu zote.
 
Yani wabadilishe sheria siku kumi na ushee kabla ya uchaguzi ili kulazimisha watu wasibaki vituoni? Mkuu hiyo itadhihirisha kabisa kwamba wana lao jambo. Mimi hawa CCM naanza kuwatilia sana shaka, maana wangekua kweli hawanza mpango wa kufanya figisufigisu..wao ndio wangekua mstari wa mbele kusema kwamba mawakala wawepo..na watu kama wanataka wakae kusubiri matokeo ni ruksa..ilimradi wakae umbali unaoelekezwa na sheria. Lakini hii ya kulazimisha kwamba watu waondoke..mpaka inafika mahali IGP anatoa order inayokinzana na sheria...hii kwa kweli inanipa maswali mengi sana.
ha haa haaa.... hawawezi itisha bunge sababu hiyo mkuu ila naonyesha the best way wangeweza crush hiyo sheria.... sasa Kibatala/Lisu wakienda mahakamani si tamko la IGP litatupiliwa mbali? Mi sielewi maana sio mwana sheria....
 
ha haa haaa.... hawawezi itisha bunge sababu hiyo mkuu ila naonyesha the best way wangeweza crush hiyo sheria.... sasa Kibatala/Lisu wakienda mahakamani si tamko la IGP litatupiliwa mbali? Mi sielewi maana sio mwana sheria....

Kama mahakama haijaingiliwa na roho ya kijani...ni wazi hilo tamko litatupiliwa mbali. tena haraka tu
 
hii kitu haiwezekani kukubalika kila chama/mgombea kikihamasisha wafuasi wake wakusanyike kituoni kulinda kura zikihesabiwa itakuwa ni vurugu na uvunjifu wa amani wa kikusudia.

hivyo watu wakipiga kura waondoke kuepusha vurungu za watu walio na misimamo tafauti. polisi tunaomba mlisimamie hilo kwa nguvu zote.

Hebu jiulize..kama kila mtu anatakiwa kuondoka..matokeo yanabandikwa kwa kazi gani? Ndio maana sheria ilitungwa kuwaruhusu watu wayasubiri matokeo..lakini pia ikaweka mazingira ya tume kuhesabu kura kwa amani..ndio maana zikawekwa mita 100. Hapo cha msingi polisi wawepo kuwalinda wananchi watakao chagua kubaki.
 
hii kitu haiwezekani kukubalika kila chama/mgombea kikihamasisha wafuasi wake wakusanyike kituoni kulinda kura zikihesabiwa itakuwa ni vurugu na uvunjifu wa amani wa kukusudia.

hivyo watu wakipiga kura waondoke kuepusha vurungu za watu walio na misimamo tafauti. polisi tunaomba mlisimamie hilo kwa nguvu zote.
Sasa mkuu kwa nini matokeo yabandikwe vituoni kama wananchi hawataweza yajua? Kwa nini sheria ilitungwa kwamba unaweza kaa mita 100.... na je kwa kufanya kama unavo sema sio uvunjifu wa sheria wa wazi wakati wewe unacho sema kilitakiwe kionwe kabla ya sheria kutungwa na ni worries of the UNKNOWN? ?????
 
Nafikiria numbers.

Polisi wako wangapi ili kusimamia agizo la IGP nnchi nzima
 
Sasa mkuu kwa nini matokeo yabandikwe vituoni kama wananchi hawataweza yajua? Kwa nini sheria ilitungwa kwamba unaweza kaa mita 100.... na je kwa kufanya kama unavo sema sio uvunjifu wa sheria wa wazi wakati wewe unacho sema kilitakiwe kionwe kabla ya sheria kutungwa na ni worries of the UNKNOWN? ?????

Mkuu hii sheria mi naona imekaa vizuri kabisa. Inaongeza uwazi kwenye zoezi zima la uchaguzi. Ila hii nguvu inayotumia kuivunja sheria yenyewe..mpaka IGP nae kushiriki kwenye uvunjifu huo inaleta doubt kubwa sana juu ya malengo ya chama dola.
 
Nafikiria numbers.

Polisi wako wangapi ili kusimamia agizo la IGP nnchi nzima

Ni wazi hawawezi kutanda nchi nzima (75000 polling centers). Watakacho fanya ni kuongeza nguvu mijiji maana ndio kwenye watu wengi
 
Nadhani hajui hata sheria ya uchaguzi inasemaje?

Polisi wengine vilaza kweli, sijui hata huo u-IGP alipewaje wakati vitu obvious vipo na vinaonekana?
 
Mkuu hii sheria mi naona imekaa vizuri kabisa. Inaongeza uwazi kwenye zoezi zima la uchaguzi. Ila hii nguvu inayotumia kuivunja sheria yenyewe..mpaka IGP nae kushiriki kwenye uvunjifu huo inaleta doubt kubwa sana juu ya malengo ya chama dola.
Kwa mtizamo wangu.... polisi walinde wananchi kwenye umbali ulio wekwa kisheria. .. kuanza vurugana na watu asubuhi eti waondoke wakati wapo kwa mujibu wa sheria kunaweza leta shida.... Kumbuka tunaongelea vituo 72,000 ..... naona pia polisi watajipa mzigo mkubwa sana kucontain watu wote vituo vyote hivo mapema na baadae tunaweza kosa ulinzi madhubuti kwenye vituo ndani wanako pigia kura ambako ndo muhim sana.... ni maoni yangu tu mkuu...
 
Back
Top Bottom