Marriage seems like a prison for so many people

Marriage seems like a prison for so many people

Ukishao mambo mengi hubadilika, kama hujajiandaa vizuri lazima upagawe...mfano vijana wa siku hizi wako kama Honey Badger, huyu mnyama Kila mnyama au mdudu anayeona anammudu atataka kupigana naye hata akifa sawa, sasa vijana hawajajiandaa kimwili wala kisaikolojia, ndoa ni maudhi ya makusudi hivyo busara sometimes inabidi itumike...
Sawa sawa
 
Kataa ndoa mnajipatia pointi hapa lakini nipende kuwaambia hata kama una kaka yako mnaishi pamoja lazima mgombane,hivyo ugomvi katika ndoa ni kama sukari kwenye chai. Chai unaweza kuinywa bila sukari?
Hapo mwishoni umeharibu mzee mimi chai au maziwa bila sukari vinashuka vizuri tu! Sipendi vitu vyenye sukari nyingi mfano asali au tende..ukizidisha sukari kwenye chai au maziwa sinywi!
 
Ndoa ni taasisi inayochangia uzalishaji wa jamii bora kwa asilimia kubwa, ni vyema taasisi hii ilindwe kwa manufaa ya vizazi vijavyo
 
Back
Top Bottom