Marriage seems like a prison for so many people

Marriage seems like a prison for so many people

Red black

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2019
Posts
12,061
Reaction score
37,428
hakuna uhuru.

kushikiwa mtoto asie wako.

kuletewa magonjwa ya zinaa..

kuchapiwa/kugongewa pindi unapoyumba kiuchumu.

Ugomvi kila siku hakuna maelewano ndani ya nyumba.

Dharau kibao.

Screenshot_20260204-215835~2.jpg
 
Kataa ndoa mnajipatia pointi hapa lakini nipende kuwaambia hata kama una kaka yako mnaishi pamoja lazima mgombane,hivyo ugomvi katika ndoa ni kama sukari kwenye chai. Chai unaweza kuinywa bila sukari?
Chai bila sukari inanyweka Mkuu. Ndoa sio ya kukuruoikia sababu kuna kuoa, au unataka watoto au ufurahishe wazazi/jamii. Siku hozi ukitaka kuoa funga na kusali Mungu akuongoze umpate aliye sahihi ukiweza tambika kabisa. Maana uvumilivu wanawake wa siku hizi hawana kabisa. Tuwaweke watoto wa kiume kwenye maombi.
 
Chai bila sukari inanyweka Mkuu. Ndoa sio ya kukuruoikia sababu kuna kuoa, au unataka watoto au ufurahishe wazazi/jamii. Siku hozi ukitaka kuoa funga na kusali Mungu akuongoze umpate aliye sahihi ukiweza tambika kabisa. Maana uvumilivu wanawake wa siku hizi hawana kabisa. Tuwaweke watoto wa kiume kwenye maombi.
shida watu ni wabishi sana. Hivi tangu umezaliwa na mama yako haukuwahi kugombana nae? Kama uliwahi kwa nini usigombane na mkeo wakati ushawahi kugombana hadi na mamako? Watu wawili wakiishi pamoja mikwaruzano,migongano huwa haiepukiki,sema siku hizi uvumilivu umekwisha.
 
Back
Top Bottom