Maroli ya ASAS na Polisi tatueni kero ya foleni Korogwe na Kimara Stand

Rufiji dam

JF-Expert Member
Feb 20, 2020
3,804
8,797
Mmiliki wa ASAS kuna kelele zinapita kwa watu kuhisi una nguvu sana katika serikali hii wakiunganisha na uhusiano wako na timu Msoga.

Magari yako ya mafuta yamekuwa kero sana hasa jioni yakiwa yamepark na kuchukua sehemu kubwa sana ya barabara.

Kero hii inasababisha kutengeneza foleni kubwa sana kuanzia kituo cha Bucha mpaka Kimara mwusho, wengi wanadai hakuna mtu wa kukugusa.

Polisi wa barabarani nao wameshindwa kbs kutoa kero ya foleni kwa kuwadhibiti Bajaj na Daladala ambao wanagoma kuingia kwenye kituo chao na kishusha abiria matokeo yake wanashushia barabara kuu.

Na Kimara kuna kituo cha polisi wanashindwa nini kutoka na kuja kisaidia kuondoa kero hii.

Pia soma

Kituo cha orxy kimara resort kinaweka foleni katika barabara ya Morogoro road.

IGP Sirro: Namshukuru sana ASAS kwa kutujengea ghala la kuhifadhia silaha mimi ni mwenzenu nimesoma Tosamaganga High school!
 
Hii barabara Ina tatizo kubwa!! Tatizo wataalamu WA Tanroad wanajitoa ufahamu kushirikiana kutatua tatizo hili kubwa!! Una Lori huna pa kupaki hili ni tatizo lililo nje ya uwezo WA mmiliki WA Malori
 
Kuna muda nashindwa kuwaelewa matajiri Asas na utitiri wote wa yards na vituo vua mafuta uliopo ameamua tu kuleta kero ya parikng kimara korogwe.
Kwannini asijaze mafuta kibaha huko ambapo parking hazisumbui
 
Magari yako ya mafuta yamekuwa kero sana hasa jioni yakiwa yamepark na kuchukua sehemu kubwa sana ya barabara.

Kero hii inasababisha kutengeneza foleni kubwa sana kuanzia kituo cha Bucha mpaka Kimara mwusho, wengi wanadai hakuna mtu wa kukugusa.

Polisi wa barabarani nao wameshindwa kbs kutoa kero ya foleni kwa kuwadhibiti Bajaj na Daladala ambao wanagoma kuingia kwenye kituo chao na kishusha abiria matokeo yake wanashushia barabara kuu.
Kumbukeni The Late Rev. C. Mtikila aliposema magabachori watakuwa na full control ya nchi aliyaona mengi, na hapa bado wale wa Loliondo hawajaanza kuzaliana
 
Back
Top Bottom