Mark Zuckerberg aingiza Trilion 65 kwa Siku

Mark Zuckerberg aingiza Trilion 65 kwa Siku

View attachment 3430742

Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).

Unaambiwa mapato hayo makubwa ndani ya saa 24 yametokana na 'Meta Q2' kuongezeka kwa zaidi ya Asilimia 12.

Mkwanja huo ulioingia umeongeza utajiri wake hadi kufikia Dola Bilioni 271 na kumfanya kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani.

Wewe unaingia Tsh Ngapi kwa siku?
Bajeti yetu ni trilioni 45! Kwa mwaka!

Yaani, mtu mmoja anaweza kutulisha na kulipia kila kitu! Halafu sisi tuendelee kukesha makanisani, kuimba mapambio. Halafu ibada ikiisha, tunagombania daladala kurudi kwetu — Mbagala, Bunju. Wachungaji wetu wanaingia kwenye ma-V8 yao… haooo, mdogo mdogo! Wanarudi kwenye mijengo yao — Ununio, Mbezi, Boko, nk!

Zuckerberg hakubatiza watoto, asali, jumuiya. Hatoi fungu la kumi (anatoa zaidi kwa waja wa Mungu kwa ajira anazotengeneza).
 
Mkuu hata sisi tungekuwa na nidhamu ya matumizi ya pesa kudhibiti mianya ya ufisadi rushwa na ubadhirifu tungekuwa matajiri na maisha mazuri.

Wee fikiria matrillion yetu wachache wanajikusanyia.

Skandinavian wanaendelea kwasababu ya nidhamu ya pesa. Norway ni matajiri kwasababu ya mafuta lakini hawajabweteka watu wanafanya kazi kodi lazima ulipe yani ukiamka kwenda kazini unaona kila mtu yuko kwenye nafasi yake ya majukum taifa linasonga.

Tuna mzaha sana likija swala la maendeleo.

Hata mimi ishu za Imam Hussain inabidi nipunguze.

Nyamwi255 Beira Boy Moisemusajiografii
Matajiri wakubwa kwa sasa wanamiliki teknolijia.

Means they can work anywhere na hawapo limited na muda au nguvu .

Just ask to you how you gonna be richest ikiwa una muda maalumu wa kuingiza hela na muda wa kwenda kazini na kurudi.
 
View attachment 3430742

Thamani ya utajiri wa Mark Zuckerberg, imepanda baada ya kuongezeka kwa hisa zake ambazo zimemfanya kuingiza Dola Bilioni 26 sawa na Trilioni 65 kwa siku moja (Saa 24).

Unaambiwa mapato hayo makubwa ndani ya saa 24 yametokana na 'Meta Q2' kuongezeka kwa zaidi ya Asilimia 12.

Mkwanja huo ulioingia umeongeza utajiri wake hadi kufikia Dola Bilioni 271 na kumfanya kuwa mtu wa tatu kwa utajiri duniani.

Wewe unaingia Tsh Ngapi kwa siku?
Sisi hicho kidoogo tunachoingiza taifa zima kinaliwa na akina Rostam na wahuni wenzake akina Kikwete
 
Mkuu hata sisi tungekuwa na nidhamu ya matumizi ya pesa kudhibiti mianya ya ufisadi rushwa na ubadhirifu tungekuwa matajiri na maisha mazuri.

Wee fikiria matrillion yetu wachache wanajikusanyia.

Skandinavian wanaendelea kwasababu ya nidhamu ya pesa. Norway ni matajiri kwasababu ya mafuta lakini hawajabweteka watu wanafanya kazi kodi lazima ulipe yani ukiamka kwenda kazini unaona kila mtu yuko kwenye nafasi yake ya majukum taifa linasonga.

Tuna mzaha sana likija swala la maendeleo.

Hata mimi ishu za Imam Hussain inabidi nipunguze.

Nyamwi255 Beira Boy Moisemusajiografii
Ukipunguza inshu za imamu Hussein bas ujue wewe siyo rafiki yangu
 
Back
Top Bottom