ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,637
- 90,035
Kwani raisi wenu anaweza kuwa bold? Umeona mtu wa kuwa bold pale?Kauli ya kusema wapangwe ni kujihami, na kiongozi anayejihami asiefanya bold decisions si kiongozi mzuri, wapangwe wamekua nyanya? Lol si watu wazima wale hawajui huu ni mtaro nisiweke biashara hapa??,, I agree hawatafanywa lolote kama Rais haonyeshi u serious