chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Tumemsikia Rais Samia akisema kwa lugha ya kujihami kuwa machinga wapangwe
Katumia lugha ya wapangwe badala ya waondolewe sababu anaogopa, anaogopa kuwa hawana mbadala wa sera ya kupunguza watu wasiwe machinga na pia aliyewaweka ni Magufuli ambaye naye alikuwa sehemu ya utawala wake ila akafeli kumshauri kuruhusu machinga ku operate freely
Pia Serikali inaogopa kwa kuwa haina sera za maana za kushawishi watu wala kujitetea kwa lolote kuhusu matatizo ya ajira na mengineyo na sana sana ipo madarakani kwa mabavu na ulaghai
So haitathubutu kwa kuwa itawapandisha hasira wananchi hawa, maana haina excuse yoyote ya kuwaambia na inahisi wataleta machafuko na kuwasogeza wananchi hao karibu na upinzani ambao inajaribu kila njia kuwazama
Tumesikia mbunge mmoja akithibitisha haya kwa kuishauri Serikali kuwa ikiwaondoa machinga watakuwa wanawaunga mkono upinzani na hivyo kuleta tishio kwa CCM
So CCM lazima iwaache machinga mtaani ili kuilinda, maana ikiwatoa haina cha kuwaeleza, itakuwa very unpopular
Mark my Thread..
Katumia lugha ya wapangwe badala ya waondolewe sababu anaogopa, anaogopa kuwa hawana mbadala wa sera ya kupunguza watu wasiwe machinga na pia aliyewaweka ni Magufuli ambaye naye alikuwa sehemu ya utawala wake ila akafeli kumshauri kuruhusu machinga ku operate freely
Pia Serikali inaogopa kwa kuwa haina sera za maana za kushawishi watu wala kujitetea kwa lolote kuhusu matatizo ya ajira na mengineyo na sana sana ipo madarakani kwa mabavu na ulaghai
So haitathubutu kwa kuwa itawapandisha hasira wananchi hawa, maana haina excuse yoyote ya kuwaambia na inahisi wataleta machafuko na kuwasogeza wananchi hao karibu na upinzani ambao inajaribu kila njia kuwazama
Tumesikia mbunge mmoja akithibitisha haya kwa kuishauri Serikali kuwa ikiwaondoa machinga watakuwa wanawaunga mkono upinzani na hivyo kuleta tishio kwa CCM
So CCM lazima iwaache machinga mtaani ili kuilinda, maana ikiwatoa haina cha kuwaeleza, itakuwa very unpopular
Mark my Thread..