Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,636
Katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Kibera nchini Kenya ilikuwa kipimo cha Umaarufu,Pesa,Umwamba na Uwezo wa kisiasa nami kwa kuwa ni mpenzi wa siasa nilifuatilia kampeni hizo hatua kwa hatua.
Mariga aliyepewa chapuo la kuchukua nafasi hiyo baada ya aliyekuwa mbuge wa jimbo hilo kufariki alijua kabisa kuwa pesa,umaarufu hasa katika soka na hususani iuchezea vilabu vikubwa vya mpira barani Ulaya ingekuwa sifa za Wakenya (moja ya jamii inayopiga hatua kubwa katika demokrasia baada ya mauaji ya uchaguzi uliopita miaka kadhaa ambapo Uhuru la Ruto walipelekwa The Hegue.
Naam kampeni zilikuwa za aina yake na ukweli ni kwamba mimi binafsi niliamini Mariga angeshinda kwa kura nyingi hasa ukiangalia alivyokuwa anajaza umati wa watu wengi na hasa kampeni za mwisho ambazo alipewa kapani kubwa na DP Ruto mtu tajiri anayeutaka urais usiku na mchana.
Raila ambaye ni mtaalam wa siasa za Afrika alikuwa amejichimbia kwenye mitaa na vichochoro walipo wapiga kura huku vijana wahuni wa Kibera wakijaa kwa Mariga na Ruto kutafuta pesa. Leo hii matokeo yameiacha mdomo wazi Jubilee huku ODM wakichekelea kwa ushindi mtamu.
Naamini wale mliokuwa mnafuatilia kama mimi kampeni za Mariga mtakubaliana nami kuwa umati uliokuwa unaambatana na Mariga ni zaidi ya umati wa kipindi kile cha kampeni za urais za Uhuru Kenyatta. Okoth (ODM) kura 24,636
Mariga (JUBILEE) 11,230
Tanzania tujifunzeni siasa za ushindani kama Kenya na sio kufunga na kukimbia ofisi
![](//emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
Weekend njema WANAZENGO
Mariga aliyepewa chapuo la kuchukua nafasi hiyo baada ya aliyekuwa mbuge wa jimbo hilo kufariki alijua kabisa kuwa pesa,umaarufu hasa katika soka na hususani iuchezea vilabu vikubwa vya mpira barani Ulaya ingekuwa sifa za Wakenya (moja ya jamii inayopiga hatua kubwa katika demokrasia baada ya mauaji ya uchaguzi uliopita miaka kadhaa ambapo Uhuru la Ruto walipelekwa The Hegue.
Naam kampeni zilikuwa za aina yake na ukweli ni kwamba mimi binafsi niliamini Mariga angeshinda kwa kura nyingi hasa ukiangalia alivyokuwa anajaza umati wa watu wengi na hasa kampeni za mwisho ambazo alipewa kapani kubwa na DP Ruto mtu tajiri anayeutaka urais usiku na mchana.
Raila ambaye ni mtaalam wa siasa za Afrika alikuwa amejichimbia kwenye mitaa na vichochoro walipo wapiga kura huku vijana wahuni wa Kibera wakijaa kwa Mariga na Ruto kutafuta pesa. Leo hii matokeo yameiacha mdomo wazi Jubilee huku ODM wakichekelea kwa ushindi mtamu.
Naamini wale mliokuwa mnafuatilia kama mimi kampeni za Mariga mtakubaliana nami kuwa umati uliokuwa unaambatana na Mariga ni zaidi ya umati wa kipindi kile cha kampeni za urais za Uhuru Kenyatta. Okoth (ODM) kura 24,636
Mariga (JUBILEE) 11,230
Tanzania tujifunzeni siasa za ushindani kama Kenya na sio kufunga na kukimbia ofisi
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji23.png)
Weekend njema WANAZENGO