Haya sasa...Wazanzibari ...wazanzibari.....Wazanzibari...!
Tumewaelewa jamani na Zanzibari yenu, na harakati zenu za kuandika historia mpya za Zanzibar!
Mi nawashangaa watu wanaokulazimisheni muitwe Tanzania-Bara, wakati at-least kwa sasa mna kila kitu chenu...Bendera, Wimbo wa Taifa etc, bado sarafu tu!!
Bara nini bana!
By ze way, all the best!