Maridhiano: Je, ni baina ya vyama vya siasa au baina ya madhehebu ya dini?

Maridhiano: Je, ni baina ya vyama vya siasa au baina ya madhehebu ya dini?

President of China

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2018
Posts
31,548
Reaction score
89,516
Hakuna asiyejua kuwa Katiba yetu inatamka wazi kuwa nchi yetu ni ya vyama vingi na serikali haina dini lakini raia wake yupo na uhuru wa kuchagua imani yake.

Je, tunapoongelea suala la maridhiano ni akina nani wahusika wa maridhiano haya? Je, ni ungomvi wa wafanya biashara? Ni ungomvi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, ni utofauti wa vyama vya siasa au Ugomvi wa madhehebu ya dini.

Ili tuweze kufanya mardhiano ya uhakika hapa nani na nani wanaridhiana? Na wanaridhiana kwa jambo lipi?
Mawazo ni mengi mitaani na minong'ono imejaa kila kona ya nchi. Ukienda kwenye vijiwe utakutana na watu wanaongelea haya. Wengine wanasema ni maridhiano baina ya madhehebu ya kidini, kuna baadhi ya madhehebu ya kidini maslah yao yameguswa. Wengine wanasema maridhiano baina ya wafanya biashara kuna wafanyabishara maslah yao yameguswa. Wengine wanasema hili suala la SGR linakuja kuua biashara nyingi za usafirishaji. Makampuni makubwa ya usafirishaji yanaamua kukwamisha.

Wengine wanasema kabisa hii mwendo kwasi imeua biashara za watu hususani wale wenye daladala. Wanaona kabisa BRT ikikamilika kilakona Daladala zitakuwa hazina kazi biashara zao zitakufa totally. Ndio maana vijana wengi walichoma na kuteketeza kabisa vituo vya mwendo kasi.

Wasiwasi wa Madereva wa bodaboda kukosa kufika mjini maana Dar maana kwa mwonekano kabisa usafiri ndani ya jiji hautahusisha bodaboda utahusisha BRT.

Wengine wanasema baadhi ya madhehebu ya kini yameguswa na mageuzi yanayofanyika kutokana na kwamba madhebu hayo yalikuwa yakimilki biashara zingine huko bandarini, mabadiliko haya yameathili biashara zao.

Watu wanasema haya maridhiano yakifanyika na hawa watu wakaelewana hakutakuwepo na kelele tena.

Venus Star
Wa Pasua - Moshi Kilimanjaro
P.O. Box 103
venusstar@moshimjini.com
0791456
 
Hata aliyesema hivyo, na yeye haelewi kunapaswa kufanyika maridhiano kati ya nani na nani
Mimi naona makundi yote yakae yaridhiane. Nani afanyekipi na nani afanye kipi. Hapa kinachopiganiwa sana ni maslah. Kila mmoja anataka kulinda maslah yake.
 
Hakuna asiyejua kuwa Katiba yetu inatamka wazi kuwa nchi yetu ni ya vyama vingi na serikali haina dini lakini raia wake yupo na uhuru wa kuchagua imani yake.

Je, tunapoongelea suala la maridhiano ni akina nani wahusika wa maridhiano haya? Je, ni ungomvi wa wafanya biashara? Ni ungomvi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, ni utofauti wa vyama vya siasa au Ugomvi wa madhehebu ya dini.

Ili tuweze kufanya mardhiano ya uhakika hapa nani na nani wanaridhiana? Na wanaridhiana kwa jambo lipi?
Mawazo ni mengi mitaani na minong'ono imejaa kila kona ya nchi. Ukienda kwenye vijiwe utakutana na watu wanaongelea haya. Wengine wanasema ni maridhiano baina ya madhehebu ya kidini, kuna baadhi ya madhehebu ya kidini maslah yao yameguswa. Wengine wanasema maridhiano baina ya wafanya biashara kuna wafanyabishara maslah yao yameguswa. Wengine wanasema hili suala la SGR linakuja kuua biashara nyingi za usafirishaji. Makampuni makubwa ya usafirishaji yanaamua kukwamisha.

Wengine wanasema kabisa hii mwendo kwasi imeua biashara za watu hususani wale wenye daladala. Wanaona kabisa BRT ikikamilika kilakona Daladala zitakuwa hazina kazi biashara zao zitakufa totally. Ndio maana vijana wengi walichoma na kuteketeza kabisa vituo vya mwendo kasi.

Wasiwasi wa Madereva wa bodaboda kukosa kufika mjini maana Dar maana kwa mwonekano kabisa usafiri ndani ya jiji hautahusisha bodaboda utahusisha BRT.

Wengine wanasema baadhi ya madhehebu ya kini yameguswa na mageuzi yanayofanyika kutokana na kwamba madhebu hayo yalikuwa yakimilki biashara zingine huko bandarini, mabadiliko haya yameathili biashara zao.

Watu wanasema haya maridhiano yakifanyika na hawa watu wakaelewana hakutakuwepo na kelele tena.

Venus Star
Wa Pasua - Moshi Kilimanjaro
P.O. Box 103
venusstar@moshimjini.com
0791456
Hapa ndio unaona umecheza bonge la mind game! Na unaamink kuna utakaowapoteza nini hasa matakwa ya umma. Ni hivi, hatutaki maridhiano na majizi ya kura maana ni kupotezeana muda. Katiba ni lazima sio ombi, rasimu ya Warioba ipo ina maoni yetu ya halali. Hayo ndio yatengeneze katiba mpya. Kinyume na hapo kurudi barabarani ni lazima. Na safari hii haturudi kizembe bali lazima tuwe na silaha mkononi.
 
Last card kwa oppressor ni kuridhiana ndio maana watu.wengi wanapelekwa jela ili maridhiano yaje yaonekane genuine and needed.

Bado core issues zinakimbiwa kutatuliwa
 
Hakuna asiyejua kuwa Katiba yetu inatamka wazi kuwa nchi yetu ni ya vyama vingi na serikali haina dini lakini raia wake yupo na uhuru wa kuchagua imani yake.

Je, tunapoongelea suala la maridhiano ni akina nani wahusika wa maridhiano haya? Je, ni ungomvi wa wafanya biashara? Ni ungomvi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, ni utofauti wa vyama vya siasa au Ugomvi wa madhehebu ya dini.

Ili tuweze kufanya mardhiano ya uhakika hapa nani na nani wanaridhiana? Na wanaridhiana kwa jambo lipi?
Mawazo ni mengi mitaani na minong'ono imejaa kila kona ya nchi. Ukienda kwenye vijiwe utakutana na watu wanaongelea haya. Wengine wanasema ni maridhiano baina ya madhehebu ya kidini, kuna baadhi ya madhehebu ya kidini maslah yao yameguswa. Wengine wanasema maridhiano baina ya wafanya biashara kuna wafanyabishara maslah yao yameguswa. Wengine wanasema hili suala la SGR linakuja kuua biashara nyingi za usafirishaji. Makampuni makubwa ya usafirishaji yanaamua kukwamisha.

Wengine wanasema kabisa hii mwendo kwasi imeua biashara za watu hususani wale wenye daladala. Wanaona kabisa BRT ikikamilika kilakona Daladala zitakuwa hazina kazi biashara zao zitakufa totally. Ndio maana vijana wengi walichoma na kuteketeza kabisa vituo vya mwendo kasi.

Wasiwasi wa Madereva wa bodaboda kukosa kufika mjini maana Dar maana kwa mwonekano kabisa usafiri ndani ya jiji hautahusisha bodaboda utahusisha BRT.

Wengine wanasema baadhi ya madhehebu ya kini yameguswa na mageuzi yanayofanyika kutokana na kwamba madhebu hayo yalikuwa yakimilki biashara zingine huko bandarini, mabadiliko haya yameathili biashara zao.

Watu wanasema haya maridhiano yakifanyika na hawa watu wakaelewana hakutakuwepo na kelele tena.

Venus Star
Wa Pasua - Moshi Kilimanjaro
P.O. Box 103
venusstar@moshimjini.com
0791456
Kumbe unatokea Moshi na Upambavu wote huu
Unawaabisha sana watu kaskazini Kwa kiwango hiki Cha upambavu ulichonacho

Hio namba ni ya nini
Alafu hata kuandika namba sahihi unashindwa

HUwezi kuanzisha maridhiano na watu wanaona mali ni muhimu kuliko uhai wa vijana waliokufa, huwezi kuridhiana na watu ambao wanasema wandamaji ni wakenya

Si wakaridhiane na wakenya waliandamana maana watanzania hawakuandama Wala kuuwawa.

Lazima iwepo Nia ya maridhiano wewe mjinga

Maridhiano sio ya makundi ni maridhiano ya watanzania wapewe nafasi ya kuamua hatima ya Taifa na nchi Yao

Na sio kati ya genge la wauwaji na raia wema
 
Kumbe unatokea Moshi na Upambavu wote huu
Unawaabisha sana watu kaskazini Kwa kiwango hiki Cha upambavu ulichonacho

Hio namba ni ya nini
Alafu hata kuandika namba sahihi unashindwa

HUwezi kuanzisha maridhiano na watu wanaona mali ni muhimu kuliko uhai wa vijana waliokufa, huwezi kuridhiana na watu ambao wanasema wandamaji ni wakenya

Si wakaridhiane na wakenya waliandamana maana watanzania hawakuandama Wala kuuwawa.

Lazima iwepo Nia ya maridhiano wewe mjinga

Maridhiano sio ya makundi ni maridhiano ya watanzania wapewe nafasi ya kuamua hatima ya Taifa na nchi Yao

Na sio kati ya genge la wauwaji na raia wema
Sasa unataka kipi kifuate baada ya uchaguzi mkuu kufanyika. Toa ushauri kama mshauri wa Serikali yako.
 
Kumbe unatokea Moshi na Upambavu wote huu
Unawaabisha sana watu kaskazini Kwa kiwango hiki Cha upambavu ulichonacho

Hio namba ni ya nini
Alafu hata kuandika namba sahihi unashindwa

HUwezi kuanzisha maridhiano na watu wanaona mali ni muhimu kuliko uhai wa vijana waliokufa, huwezi kuridhiana na watu ambao wanasema wandamaji ni wakenya

Si wakaridhiane na wakenya waliandamana maana watanzania hawakuandama Wala kuuwawa.

Lazima iwepo Nia ya maridhiano wewe mjinga

Maridhiano sio ya makundi ni maridhiano ya watanzania wapewe nafasi ya kuamua hatima ya Taifa na nchi Yao

Na sio kati ya genge la wauwaji na raia wema
Umenasa kirahisi, huyo ni mzanzibar ila anajifanya mchaga hiyo ni mind game shituka, wameua ndugu zetu sasa hivi wanajisahau lisha pumbavu tutalipa labda samia awe rais wa kudumu
 
Hakuna asiyejua kuwa Katiba yetu inatamka wazi kuwa nchi yetu ni ya vyama vingi na serikali haina dini lakini raia wake yupo na uhuru wa kuchagua imani yake.

Je, tunapoongelea suala la maridhiano ni akina nani wahusika wa maridhiano haya? Je, ni ungomvi wa wafanya biashara? Ni ungomvi ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama, ni utofauti wa vyama vya siasa au Ugomvi wa madhehebu ya dini.

Ili tuweze kufanya mardhiano ya uhakika hapa nani na nani wanaridhiana? Na wanaridhiana kwa jambo lipi?
Mawazo ni mengi mitaani na minong'ono imejaa kila kona ya nchi. Ukienda kwenye vijiwe utakutana na watu wanaongelea haya. Wengine wanasema ni maridhiano baina ya madhehebu ya kidini, kuna baadhi ya madhehebu ya kidini maslah yao yameguswa. Wengine wanasema maridhiano baina ya wafanya biashara kuna wafanyabishara maslah yao yameguswa. Wengine wanasema hili suala la SGR linakuja kuua biashara nyingi za usafirishaji. Makampuni makubwa ya usafirishaji yanaamua kukwamisha.

Wengine wanasema kabisa hii mwendo kwasi imeua biashara za watu hususani wale wenye daladala. Wanaona kabisa BRT ikikamilika kilakona Daladala zitakuwa hazina kazi biashara zao zitakufa totally. Ndio maana vijana wengi walichoma na kuteketeza kabisa vituo vya mwendo kasi.

Wasiwasi wa Madereva wa bodaboda kukosa kufika mjini maana Dar maana kwa mwonekano kabisa usafiri ndani ya jiji hautahusisha bodaboda utahusisha BRT.

Wengine wanasema baadhi ya madhehebu ya kini yameguswa na mageuzi yanayofanyika kutokana na kwamba madhebu hayo yalikuwa yakimilki biashara zingine huko bandarini, mabadiliko haya yameathili biashara zao.

Watu wanasema haya maridhiano yakifanyika na hawa watu wakaelewana hakutakuwepo na kelele tena.

Venus Star
Wa Pasua - Moshi Kilimanjaro
P.O. Box 103
venusstar@moshimjini.com
0791456
Wananchi na Dola maana makundi yote uliyoyataja bado yanaundwa na wananchi

Swali

Je wananchi wako tiyari kwa mardhiano ?
 
Wananchi na Dola maana makundi yote uliyoyataja bado yanaundwa na wananchi

Swali

Je wananchi wako tiyari kwa mardhiano ?
Ulishawahi kuona wapi wananchi wote wanakaa na kuridhiana? Wewe binafsi unataka uridhiane na nani kwa kitu gani?
 
Back
Top Bottom