huyu mdada namfahamu sana hana dharau wala kiburi nachati naye sana twita yupo tofauti na wanawake wengine ana msimamo sana kwenye hii ishu ya escrow amenihahidi wahusika wote wataghulikiwa hakuna funika kombe mwanaharamu apite document wanazo za kutosha.
Kuongoza nchi kwa sababu umemfuatilia tweeter!!!!????
Seriously ndio urais umekuwa hivi sasa???!!!
Asee. .,. . . . . . !!!!!
Kwa hiyo!! Ka unachati naye!! Kakuahid kuwa washukiwa wataadhibiwa yeye kama nani?? Acheni kuwapa watu promo za kipapasi!!
NB: ukalipe laki mbili za watu #mswahili
duh kama ni mfuasi wa zitto atakuja kutufanya turudie makosa wasaliti wote wa mapinduzi wanatakiwa wapigwe risasi kwa hapa mafisadi walipo tufikisha tunalazwa chini mhimbili sababu ya mafisadi !!Kazi yake ni kumpotosha Zitto,
Wache wafu wazikane...
yaani kufuatilia tweets tayari ushamuona anafaa kuwa Rais! haya yote yamesababishwa na kikwete, hii taasisi kaidhalilisha Sana, yaani hata ma miss Wa nataka kuwa Rais!! my nose
Mungu wangu!!! Hii habari mara ya kwanza niliisoma juu juu! Kumbe mleta mada anashauri Maria agombee urais? Hii nchi sasa kumbe hata mimi naweza kutangaza nia!!! Yaani kutoka kwenye Compass Comunication to the national top most!!! Niliamini hata Pinda hafai kabisa kuwa rais wa nchi hii kumbe kama ndo hivyo, basi Pinda ni one of the best candidate!Ingawa hatujaruhusu kuwa na independent candidates kwenye nchi hii, mtu wa aina hiyo ndiye nilikuwa ninataka ashike uskani wa kuingoza nchi hii.
mbona povu limekutoka sana kama unataka kufa tulia dawa ikuingie lazima wezi wote lazima wafukuzwe woteKwa hiyo!! Ka unachati naye!! Kakuahid kuwa washukiwa wataadhibiwa yeye kama nani?? Acheni kuwapa watu promo za kipapasi!!
NB: ukalipe laki mbili za watu #mswahili
jinyongeNot me please, am up my senses na nimekerwa sana labda hata kuliko wewe!!!
una taarifa Zitto tumeshamrudisha CDM jana alikuwa mtwara kwenye ziara UKAWA na Lipumbaduh kama ni mfuasi wa zitto atakuja kutufanya turudie makosa wasaliti wote wa mapinduzi wanatakiwa wapigwe risasi kwa hapa mafisadi walipo tufikisha tunalazwa chini mhimbili sababu ya mafisadi !!
mfuasi wa msaliti na yeye ni msaliti!!
jinyonge
Mungu wangu!!! Hii habari mara ya kwanza niliisoma juu juu! Kumbe mleta mada anashauri Maria agombee urais? Hii nchi sasa kumbe hata mimi naweza kutangaza nia!!! Yaani kutoka kwenye Compass Comunication to the national top most!!! Niliamini hata Pinda hafai kabisa kuwa rais wa nchi hii kumbe kama ndo hivyo, basi Pinda ni one of the best candidate!
Maria Sarungi ni binti wa Mzee Profesa Philemon Sarungi aliyewahi kuwa mkurugenzi wa kitivo cha afya cha Muhimbili na baadaye kushika nyadhifa kadhaa serikalini kabla ya kusitaafu.
Mwanamama huyu ameolewa na mwanamme mwenye asili ya Ethiopia akiwa na maskani yake Dar es Salaama ambako ana biashara zake binafsi kadhaa, mojawapo ikiwa ya kutafuta warembo wa kushiriki mshindano ya Miss World ya Donald Trump. Mmoja wa warembo waliopitia katika mikono ya Maria Sarungi ni mrembo Flaviana Matata ambaye sasa hivi anang'aa sana kwenye anga za urembo huko New York Marekani.
Ingawa sijui undani wake binafsi, najua kuwa Maria Sarungi siyo mwanasiasa, bali aliteuliwa na Rais kuingia kwenye bunge la katiba ambalo limemaliza muda wake. Mchango wake kwenye bunge hilo la katiba uko wazi.
Kwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja sasa, nimekuwa nafuatlia tweets zake, na kugundua kuwa ni mwanamama mwenye msimamo thabiti ambaye hajawa corrupted na party politics za vyama. Anachukua mazuri kutoka vyama vyote na kupinga mabovu ya vyama vyote.
Ingawa hatujaruhusu kuwa na independent candidates kwenye nchi hii, mtu wa aina hiyo ndiye nilikuwa ninataka ashike uskani wa kuingoza nchi hii.
Party politics zimechangia sana kuharibu nchi yetu na tunatakiwa kuachana nazo kuanzia sasa.
Mkuu jimbo gani?Huyu dada kusema kweli misimamo yake ya hali halisi ya nchi yetu kama ilivyo sasa na miaka ya hivi karibuni inanivutia sana (ila sijawahi kumuuliza yeye ni mwanachama wa chama kipi).
Nimejaribu kumshawishi mara nyingi agombee Ubunge jibu lake ni kwamba hilo nisahau kabisa kamwe halitatokea, ila sijakata tamaa labda anaweza kubadili mawazo.
Amekuahidi kwamba akishinda atachukua hatua? Kwani tayari kasema anagombea?huyu mdada namfahamu sana hana dharau wala kiburi nachati naye sana twita yupo tofauti na wanawake wengine ana msimamo sana kwenye hii ishu ya escrow amenihahidi wahusika wote wataghulikiwa hakuna funika kombe mwanaharamu apite document wanazo za kutosha.
Mkuu jimbo gani?
Nilikuwa nadahani unamaanisha jimbo la baba yake, kule Rorya!Akiamua kushiriki kwenye kinyang'anyiro sidhani kama atakosa jimbo, yapo mengi tu.