Marekebisho ya methali 2014

Marekebisho ya methali 2014

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
Marekebisho ya Methali 2014:
1~Simba mwendapole- Huyo ni Sharobaro
2~Asiyefunzwa na *****..Ujue Mama hajapitia Ualimu
3~Zimwi likujualo.. Lilikuona Sehem

4~Chelewa Chelewa.. Ukizikusanya utapata Ufagio

5~Hakuna Masika.. Wakati wa Kiangazi

6~Mpanda Ngazi.. Asiwe Mwoga kuanguka

7~Ukitaka cha Uvunguni.. Usishangae ukikuta ni Kichafu

8~Hakuna Marefu.. Yasiyo na Mapana

9~Kuku Mgeni.. Hufungiwa mpaka azoee

10~Haba na haba.. Haba Mbili.

11~Penye wengi.. Pana Ajali au Tukio

12~Ukiona vyaelea..Ujue ni vyepesi

:Mwenye nguvu- amekula ugali wa dona

:Harakaharaka-ndio kuwahi.
nicè day joeh
 
13 Mwendapole atachelewa
14 aliye juu ni Mungu
15 jambo usilolijua utaelekezwa
 
Asiye sikia la mkuu....ujue huyo kiziwi!

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom