OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,064
Hahaha hiyo U.S NAVY nitavaaga tu mzee, siku siyo nyingi.Nenda kavae ya jkt huko
Hahaha hiyo U.S NAVY nitavaaga tu mzee, siku siyo nyingi.Nenda kavae ya jkt huko
Kwanini mkuuNaanza kuamini kuwa Trump aliibiwa kura..na huenda Democratics wana agenda ya siri ya kuiangamiza hii dunia..
Hapa naomba kueleweshwa kidogo. Kwa marekani hawa tunaowataja mawaziri ,kumbe siyo mawaziri NI makatibu wakuu?Lloyd James Austin III is an American retired four-star Army general who served as the 12th commander of United States Central Command. Austin was the first black commander of CENTCOM. On December 8, 2020, incoming President Joe Biden announced his intention to nominate Austin as Secretary of Defense.
Huyu ndiye Mrume Ndago aliechaguliwa kuwa Katibu mkuu wa Ulinzi.
View attachment 1683722
Utakua unaumwa ww sio bureSema Biden keshaonesha kuwa anapenda fair ground kwa races zote, ila sasa anapoelekea ataharibu tena. Isije whites wakaona kama wanaisoma namba then hali itageuka na backup ya vijana wa Trump ipo.
Na mm nasubiria jibu mkuuuHapa naomba kueleweshwa kidogo. Kwa marekani hawa tunaowataja mawaziri ,kumbe siyo mawaziri NI makatibu wakuu?
HV inawezekana kuinunua mtandaon iwe full na viat vyake???Hahaha hiyo U.S NAVY nitavaaga tu mzee, siku siyo nyingi.
KweliAna sura ya ki Ghana kabisa
Never even once have democrat candidates been able to make their own independent decisions as presidents; they are like a pen in their boss' hand -- puppets. Trump could not be more right!Naona Obama na Hilary Clinton wapo madarakani kwa jina la Biden
You are very right.Aliingia obama mtu mwenye asili ya afrika Ghadafi akauawa
Ameingia huyu tegemea makubwa na magumu yanakuja. Mchawi mpe mwanao akulelee end of story
You said it so well. Trump hakutaka apandiliwe kichwani afanyiwe maamuzi na special interest groups ndiyo maana ya kumkoronarize wakamwondoaNaanza kuamini kuwa Trump aliibiwa kura..na huenda Democratics wana agenda ya siri ya kuiangamiza hii dunia..
Secretary US ni waziriHapa naomba kueleweshwa kidogo. Kwa marekani hawa tunaowataja mawaziri ,kumbe siyo mawaziri NI makatibu wakuu?
MmhNaanza kuamini kuwa Trump aliibiwa kura..na huenda Democratics wana agenda ya siri ya kuiangamiza hii dunia..
Naanza kuamini kuwa Trump aliibiwa kura..na huenda Democratics wana agenda ya siri ya kuiangamiza hii dunia..
Uelewa wako mdogo. Hujui siasa za marekani ni bora unyamaze tu. Yani mweusi kuchaguliwa ndo unaona unlongozi wa marekani unapenda watu weusi. Hizo ni game wanaplay. Mzungu hajawahi kukupenda. Toka kwenye huo ujinga
Wasiwasi wangu asije kutumika kama Obama kuzishambulia nchi za Kiafrika.Labda anamplipa fadhila Obama
Mimi nataka nikavae kabisa kule kule nile na kiapoHV inawezekana kuinunua mtandaon iwe full na viat vyake???
Dogo kumbe bado tu haujaenda abroad?Mimi nataka nikavae kabisa kule kule nile na kiapo