Nibiru
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 534
- 740
Ndio waenga usemaga zimwi likujualo halikuli likakwishaWasiwasi wangu asije kutumika kama Obama kuzishambulia nchi za Kiafrika.
MAGUFULI4LIFE.
Ndio waenga usemaga zimwi likujualo halikuli likakwishaWasiwasi wangu asije kutumika kama Obama kuzishambulia nchi za Kiafrika.
MAGUFULI4LIFE.
Hiyo ni suti ya officers. Halaf ni army general. Sio navyNatamani siku moja nivae hiyo combat #U.S NAVY
Lol.. wazee wa conspiracy theory.. trump hiv trump vile.You said it so well. Trump hakutaka apandiliwe kichwani afanyiwe maamuzi na special interest groups ndiyo maana ya kumkoronarize wakamwondoa
Badili uraia. Hakikisha una degree kabisa before huja apply.Mimi nataka nikavae kabisa kule kule nile na kiapo
Aliingia obama mtu mwenye asili ya afrika Ghadafi akauawa
Ameingia huyu tegemea makubwa na magumu yanakuja. Mchawi mpe mwanao akulelee end of story
Huyu jamaa ni msukuma wa Bariadi.Kwa sababu nampenda Miss Zomboko ngoja nimsaidie kutupia picha!🤗🤗🤗
View attachment 1683728View attachment 1683729View attachment 1683730
Kitamkuta lini?... Ghadafi aliuliwa na waasi wa Libya sio Obama.Obama sitasahau alichomfanyia Gadafi 😡 na yeye kitamkuta tu.
😂😂😂 Mbongo mpe picha tu maelezo yote anayo mwenyewe. Obama na clinton ndio wanamdrive biden sio. Hata wakati Magufuli anaanza urais wake watu walisema hvyohvyo kuwa Mkapa ndio anaongoza nchi kwa jina la MaguNaona Obama na Hilary Clinton wapo madarakani kwa jina la Biden
Nyie ni wapumbavu Sana yaani unalionea huruma hilo ligadafi ambalo lilikuwa linampa Idd Amin silaha aue ndugu zako? Kwamba ulitaka aishi milele kusujudiwa au? Pumbavu Sana ,Ingefaa hao Dems waje wayaondoe na maccmObama sitasahau alichomfanyia Gadafi na yeye kitamkuta tu.
Wasiwasi wangu asije kutumika kama Obama kuzishambulia nchi za Kiafrika.
MAGUFULI4LIFE.
Nyie ni wapumbavu Sana yaani unalionea huruma hilo ligadafi ambalo lilikuwa linampa Idd Amin silaha aue ndugu zako? Kwamba ulitaka aishi milele kusujudiwa au? Pumbavu Sana ,Ingefaa hao Dems waje wayaondoe na maccm
Sio kweli, Biden ametokea Democratic huyu jamaa katika uongozi wake hatakuwa na tofauti sana na Baraka Obama, ni mtu ambaye atahubiri sana demokrasia, amemteua mweusi lakini as long as ni Mmarekani na anastahili icho cheo wala hakuna shida, ataondoa siasa za chuki na kiburi kama alichokuwa nacho Trump akilala akiamka anakuja jambo baya jipya ambalo ni tofauti na mila na desturi na mfumo wa MarekaniSema Biden keshaonesha kuwa anapenda fair ground kwa races zote, ila sasa anapoelekea ataharibu tena. Isije whites wakaona kama wanaisoma namba then hali itageuka na backup ya vijana wa Trump ipo.
Nyie ni wapumbavu Sana yaani unalionea huruma hilo ligadafi ambalo lilikuwa linampa Idd Amin silaha aue ndugu zako? Kwamba ulitaka aishi milele kusujudiwa au? Pumbavu Sana ,Ingefaa hao Dems waje wayaondoe na maccm
Mkuu kuna watu mpaka leo wanaamini Idd Amin hakuwa na kosa, mwenye makosa alikuwa Nyerere.Nyie ni wapumbavu Sana yaani unalionea huruma hilo ligadafi ambalo lilikuwa linampa Idd Amin silaha aue ndugu zako? Kwamba ulitaka aishi milele kusujudiwa au? Pumbavu Sana ,Ingefaa hao Dems waje wayaondoe na maccm
Nenda wakulipe dola 33 kwa saa ukatumikie IraqNatamani siku moja nivae hiyo combat #U.S NAVY