Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

Marekani yaomba Ceasefire kwa masaa 48, Iran yakataa

Ndege imeangushwaje kibahati? Unafikiri ni kubet huko? Iran wamerelease footage jinsi ndege ilivyopigwa kwa kuonwa na Radar,halafu wewe unaleta lugha za "Bahati"

Kumbe hata hufuatilii hii vita,hujui hata madhara wanayo yapata US +Israel kwenye hii vita,Iran amekuletea madhara mpaka wewe huko kwa kukupandishia bei ya mafuta,

Endelea tu kumfuatilia Zuchu,haya mambo sio level zako,unajiaibisha tu hapa.

Mtu mweusi laana kaka 🤣🤣🤣
So wasio support kobazi wana laana 😁🤔, inaonekana kuangusha ndege moja kati ya maelfu zinazoingia na kutoka kila siku ni ushindi mkubwa sana, Iran uwezo mdogo sana hana uwezo kupigana hii vita, na kwa sasa hana Air Force or Navy kila kitu kimegeuzwa mchanga
 
Mtu ambaye hawezi hata kutengezea toothpick anawasema weak Iran,nchi ambayo inayopigana na Super power + Israel kwa zaidi ya mwezi sasa,

Hivi kwanini hua mnapenda kujitoa ufahamu? Au ndio kutawaliwa na mahaba niue mpaka mnajigeuza kua mazuzu?
Uwezo mdogo sana Iran, mnalishwa chai na maandazi tuu nyie
 
US naona kazidiwa ameomba Ceasefire ya masaa 48 Iran amekataa

Sasa ndo naelewa kwanini Iran tangu mwanzo walisema kwamba ikitokea vita kati yao na Marekani yeye Iran ndo ataamua hatma ya vita
⚡️BREAKING

The U.S. has asked Iran for a 48-hour ceasefire, but Tehran has refused

United States is trying to secure the release of its F-15 pilots


View: https://x.com/i/status/2040180480612667606

Kwamba tweet ya chawa mmoja anayejiita "Iran Observer" ndiyo chanzo cha taarifa ya kuaminika??
 
So wasio support kobazi wana laana 😁🤔, inaonekana kuangusha ndege moja kati ya maelfu zinazoingia na kutoka kila siku ni ushindi mkubwa sana, Iran uwezo mdogo sana hana uwezo kupigana hii vita, na kwa sasa hana Air Force or Navy kila kitu kimegeuzwa mchanga
Kumbe ujinga wote huu unaouonyesha hapa umesababishwa na chuki ya udini?

Hujui kitu kuhusu hii vita,ni bora tu upige kimya ili usiendelee kujiaibisha hapa.
 
Ndege imeangushwaje kibahati? Unafikiri ni kubet huko? Iran wamerelease footage jinsi ndege ilivyopigwa kwa kuonwa na Radar,halafu wewe unaleta lugha za "Bahati"

Kumbe hata hufuatilii hii vita,hujui hata madhara wanayo yapata US +Israel kwenye hii vita,Iran amekuletea madhara mpaka wewe huko kwa kukupandishia bei ya mafuta,

Endelea tu kumfuatilia Zuchu,haya mambo sio level zako,unajiaibisha tu hapa.
Kabisa mnaamini US kamwomba Iran ceasefire😁 na mnataka na sisi tuamini, hamna akili nyie
 
Acha umbea Trump leo ametoa masaa 48 Hormuz ifunguliwe lasivyo kuna hellfire itamwagika Iran nahakutakua na deal anymore
 
Ni ujinga na upumbavu kuamini habari hizi. Kuna akili za watu bado zinaamini Iran inaweza kuipiga Marekani..

Mtu kaua viongozi wote.. Iran kashindwa kuwalinda viongozi wake.

Neno la mwisho la Marehemu ninalokumbuka ni "Nitazamisha meli za Marekani chini kabisa kwenye Uwanja wa mchanga.."
 
US naona kazidiwa ameomba Ceasefire ya masaa 48 Iran amekataa

Sasa ndo naelewa kwanini Iran tangu mwanzo walisema kwamba ikitokea vita kati yao na Marekani yeye Iran ndo ataamua hatma ya vita
⚡️BREAKING

The U.S. has asked Iran for a 48-hour ceasefire, but Tehran has refused

United States is trying to secure the release of its F-15 pilots


View: https://x.com/i/status/2040180480612667606

Una akili timamu kweli
 
Back
Top Bottom