wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
mbona watiaji umeme tunachangia rea zinatosha
Waulize wananchi wake mateso wanayopata, mkate tu ni sh 1mln na Mpaka sasa wanatumia sarafu ya A.kusini na marekaniHiyo trillion moja tumekwisha kuipata kwenye makontena yaliyotoroshwa. Na bado tukibana mianya yote ya ukwepaji kodi na ufisadi hatuhitaji misaada yenye masharti ya kipuuzi. Mbona Mugabe amewatolea nje na bado anadunda!
Leo hainafaida ila ,kipindi cha mkwere mlikuwa mnaisifia sana alikuwa anaenda kuiomba...trilion moja sio mchezo.....umeme vijijini utakuwa ndo mwisho kwa Tanzania bila huu msaada
Majizi ya Kura yanataka kutuletea Balaa hapa.
Leo hainafaida ila ,kipindi cha mkwere mlikuwa mnaisifia sana alikuwa anaenda kuiomba...trilion moja sio mchezo.....umeme vijijini utakuwa ndo mwisho kwa Tanzania bila huu msaada
kodi ya trilioni moja kwa yale makontena labda kama yalikuwa yamebeba dhahabu! acheni kukuza mambo
Hii ni imani potofu; ni matokeo ya kuzowea matumzi yaliyo nje ya uwezo wetu. Angalia eti sherehe za uhuru zinapangiwa bajeti ya mabilioni ilihali tunajua hatuna uwezo huo mpaka tupewe misaada. Kinachotakiwa ni kupanga bajeti inayoendana na uwezo wa Taifa. Hakuna haja ya kuwa na sherehe, semina makongamano, posho na gharama nyingine kubwa ambazo hatuna uwezo nazo.Katika suala la misaada kutoka mataifa Tajiri kwa nchi za Africa alikwepeki.
Hata kama wakikitoza kodi hadi pesa zako zote zilizomo kwenye kibubu chako bado huna ujanja wa kutotegemea misaada ya nje.
Muulize Mugabe atakwambia
Alipochukua fomu ya kugombea "Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zimbabwe hakulijua hilo?I think its unfair to magufuli... Muungano kwa kiasi kikubwa una mambo makubwa kuliko yeye
kama wanaingilia uhuru wetu, waende na vijisenti vyao, tutatafuta namna ingine
Wabaki na misaada yao.
Kwa hiyo tukose trillion moja na nusu kwa sababu CCM hawataki kushindwa? We ni juha nini?Hiyo trillion moja tumekwisha kuipata kwenye makontena yaliyotoroshwa. Na bado tukibana mianya yote ya ukwepaji kodi na ufisadi hatuhitaji misaada yenye masharti ya kipuuzi. Mbona Mugabe amewatolea nje na bado anadunda!