The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,076
Sio kila jambo linahitaji ushahidi.wowote tu uliotolewa nataasisi huru...
Ushahidi wawazi waliotoa TAIWAN uliujuaje ?!Sio kila jambo linahitaji ushahidi.
Uzembe wa WHO ni ushahidi tosha. Kila mtu mwenye akili anakiri kua WHO ilichemka na iliharibu.
WHO ilikataa ushahidi wa wazi kutoka kwa wataalamu wa Taiwan kua corona inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, wakakataa kwa sababu kwa kusema ushahidi uliotolewa na China hauonyeshi hivyo, baada ya wiki moja mbele wakakubaliana na Taiwan kua Corona inaambukizwa kutoka kwa binadamu mmoja kwenda mwingine.
WHO ilikua inafanya kazi kama wanasiasa, leo wanasema hivi kesho wanasema vile kama wanasiasa badala ya kua wataalamu wanasayansi.
Sio kweli, acha upotoshaji, labda unaiongea Russia, China, Tanzania au nchi zingine sampuli hiyo.
Marekani uamuzi wa Congress unaweza ku-overule uamuzi wowote wa rais. Marekani uamuzi wa mtu mmoja hauwezi ukaamua hatima ya nchi. Marekani sio Banana Republic.
China itoe pesa kuziba nafasi ya Marekani?? Wewe huijui China na hata huo uwezo hawana.
Umesikia wenyewe China wamekiri wazi kuwa kuondoka kwa Marekani WHO itakuwa ni pigo kubwa kwa nchi maskini duniani. Unafikiri ni kwa nini wamekiri hivyo.
Trump ni tahira kama yule jamaa wa Tanzania.Jamaa wa dona kantri,jamaa wa nchi ya asali na maziwa!
China ikifika kwenye kuchangia inajiweka third world ila kwenye masuala ya biashara inajiweka first world..
Kwenye hili suala la Corona WHO walikosea kupanga namna ya kupambana na Virusi matokeo vikasambaa dunia nzima.Acha Marekani akae pembeni tuone ukubwa wa China.
Katika siasa au sheria hauwezi kumshutumu mtu bila ya ushahidi utaonekana punguwaniSio kila jambo linahitaji ushahidi.
Uzembe wa WHO ni ushahidi tosha. Kila mtu mwenye akili anakiri kua WHO ilichemka na iliharibu.
WHO ilikataa ushahidi wa wazi kutoka kwa wataalamu wa Taiwan kua corona inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, wakakataa kwa sababu kwa kusema ushahidi uliotolewa na China hauonyeshi hivyo, baada ya wiki moja mbele wakakubaliana na Taiwan kua Corona inaambukizwa kutoka kwa binadamu mmoja kwenda mwingine.
WHO ilikua inafanya kazi kama wanasiasa, leo wanasema hivi kesho wanasema vile kama wanasiasa badala ya kua wataalamu wanasayansi.
hakikaaaa.....Katika siasa au sheria hauwezi kumshutumu mtu bila ya ushahidi utaonekana punguwani
Cause hata Mimi naweza kuamka zangu asubuhi nikadai kuwa wewe nikikojozi ". Ili watu wanaojielewa waweze kuniamini napaswa kuwa na evidence
Kama evidence huna utaonekana kuwa nimpiga porojo tu
Wee jamaa unapenda sana kukurupuka ujue kaahSio kweli, acha upotoshaji, labda unaiongea Russia, China, Tanzania au nchi zingine sampuli hiyo.
Marekani uamuzi wa Congress unaweza ku-overule uamuzi wowote wa rais. Marekani uamuzi wa mtu mmoja hauwezi ukaamua hatima ya nchi. Marekani sio Banana Republic.
Uwe unampiga msasa huyo jamaa yako kabla hujamwambia aje achangie hapa anakaa anakurupuka kurupuka tu kwakila jambo bila kujuaRais ndiye ana uwezo wa kiveto.
Chochote kikitoka Congress kinaensa Senate ambayo mhusika ni Republican
Ningeshangaa Kama wasingejitoa! WHO ya Sasa ni wasanii na wahuni tu hakuna la maana! Ni madalali wa wafanyabiashara tu! Livunjwevunjwe kabisa kizaliwe kitu tofauti kabisa!Marekani imetangaza rasmi kujitenga na Shirika la Afya Duniani, WHO. Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akililaumu shirika hilo kwa kushindwa kudhibiti CoronaVirus
Mei 29, Rais Trump alitangaza nia yake ya kujitenga na shirika hilo, lakini WHO walikuwa wanatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa
Lawama za Rais Trump dhidi ya WHO ni kuhusu kupuuza taarifa za awali za COVID19 ulipoanza kuibuka nchini China Decemba 2019
Wataalamu wengine wa Afya wamesema wataendelea kuongea na viongozi wa WHO kuhusu namna mbali mbali z kukabiliana na janga hilo
====
The United States has officially withdrawn from the World Health Organization, lawmakers announced on Tuesday, more than a month after President Donald Trump announced his intention to do so for WHO’s alleged failure in responding to coronavirus.
“Congress received notification that POTUS officially withdrew the U.S. from the WHO in the midst of a pandemic,” U.S. Senator Bob Menendez, a Democrat from New Jersey, said on Twitter. “To call Trump’s response to COVID chaotic and incoherent doesn’t do it justice.”
Trump announced his intention to terminate the U.S. relationship with WHO on May 29, but the agency expressed hope that such a move could be avoided. “The [U.S.] has been a longstanding and generous friend to WHO and we hope it will continue to be so,” WHO chief Tedros Adhanom said earlier this year.
Trump has long criticized the international health organization for its response to the coronavirus outbreak, which began in the Chinese city of Wuhan in late 2019. It has since spread around the world, killing nearly 540,000 people.
“Chinese officials ignored their reporting obligations to the World Health Organization and pressured the World Health Organization to mislead the world when the virus was first discovered by Chinese authorities,” Trump said on May 29. China and WHO have denied those allegations.
“Countless lives have been taken, and profound economic hardship has been inflicted all around the globe. They strongly recommended against me doing the early ban from China, but I did it anyway and was proven to be 100 percent correct,” Trump said at the time.
“We have detailed the reforms that it must make and engage with them directly, but they have refused to act,” he said, adding that U.S. funds for the World Health Organization will be redirected to other worldwide and urgent public health needs.
Hawana pesa za kuchezea Kama wazunguChina atie hela kukava pengo la Marekani
China hawana moyo wa kutoa alafu kingine USA kujitoa WHO kutaipa nguvu zaidi USAIDSasa huoni kuwa kujitoa kwa USA ndio wanazidi kujiweka katika wakati mbaya zaidi
Maana WHO ni shirika ambalo linachangia kuzisaidia nchi nyingi kiafya ulimwengu ..endapo china ataweza kumudu kulipa shirika hilo pesa nyingi za kujiendesha halafu shirika hilo likawa linaendelea kutoa misaada katika nchi wanachama bila ya kutetereka ..bila shaka china itafanikiwa kuongeza ushawishi wa kisiasa katika mataifa mengi duniani hivyo basi itaifanya china kuzidi kupaa kiuchumi na kuogopeka zaidi kauli ya china itakuwa ni amri kwa hayo mataifa wanachama kama ilivyo kuwa USA kwa mataifa mengi miaka kadhaa iliyopita
Biden atatengua huu uchizi wa Trump.Marekani imetangaza rasmi kujitenga na Shirika la Afya Duniani, WHO. Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akililaumu shirika hilo kwa kushindwa kudhibiti CoronaVirus
Mei 29, Rais Trump alitangaza nia yake ya kujitenga na shirika hilo, lakini WHO walikuwa wanatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa
Lawama za Rais Trump dhidi ya WHO ni kuhusu kupuuza taarifa za awali za COVID19 ulipoanza kuibuka nchini China Decemba 2019
Wataalamu wengine wa Afya wamesema wataendelea kuongea na viongozi wa WHO kuhusu namna mbali mbali z kukabiliana na janga hilo
====
The United States has officially withdrawn from the World Health Organization, lawmakers announced on Tuesday, more than a month after President Donald Trump announced his intention to do so for WHO’s alleged failure in responding to coronavirus.
“Congress received notification that POTUS officially withdrew the U.S. from the WHO in the midst of a pandemic,” U.S. Senator Bob Menendez, a Democrat from New Jersey, said on Twitter. “To call Trump’s response to COVID chaotic and incoherent doesn’t do it justice.”
Trump announced his intention to terminate the U.S. relationship with WHO on May 29, but the agency expressed hope that such a move could be avoided. “The [U.S.] has been a longstanding and generous friend to WHO and we hope it will continue to be so,” WHO chief Tedros Adhanom said earlier this year.
Trump has long criticized the international health organization for its response to the coronavirus outbreak, which began in the Chinese city of Wuhan in late 2019. It has since spread around the world, killing nearly 540,000 people.
“Chinese officials ignored their reporting obligations to the World Health Organization and pressured the World Health Organization to mislead the world when the virus was first discovered by Chinese authorities,” Trump said on May 29. China and WHO have denied those allegations.
“Countless lives have been taken, and profound economic hardship has been inflicted all around the globe. They strongly recommended against me doing the early ban from China, but I did it anyway and was proven to be 100 percent correct,” Trump said at the time.
“We have detailed the reforms that it must make and engage with them directly, but they have refused to act,” he said, adding that U.S. funds for the World Health Organization will be redirected to other worldwide and urgent public health needs.
Baada yakuona MUHABESHI kagoma kutoka wakaona watoke wao [emoji4][emoji23][emoji16]China badala kujazia gap linaloachwa na US, yeye analialia tu eti Hali itakuwa mbaya kwa nchi zinazoendelea, Sasa si atoe mpunga kuepusha hiyo hali mbaya! Kulialia haisaidii.
US Hajachanga karatazake vyema kwasababuChina hawana moyo wa kutoa alafu kingine USA kujitoa WHO kutaipa nguvu zaidi USAID
so USA kachanga karata zake vizuri
China mjanja, anawapa pesa nchi zinazohitaji ili anufaike maradufu. Haweki kwenye fuko la pamojaChina atie hela kukava pengo la Marekani
Hoja ya US kujitoa iko wazi hata kwenye habari hii imeelezwa na wala sababu sio boss wa WHO kutong'atuka kama unavyotaka kupotosha hapa. Na hoja yangu mie ni mchina ajazie gap ili hiyo hatari anayosema itatokea kwa nchi maskini baada ya US kujitoa isitokee, Ila sasa nashangaa umeniQuote tofauti kabisa na hoja yangu niliyoandika hapa na pia tofauti kabisa na sababu za kujitoa alizoeleza Marekani. Sasa sijui lengo lako nini? Tufanye mjadala wa hoja ama tufanye mjadala katuni!!Baada yakuona MUHABESHI kagoma kutoka wakaona watoke wao [emoji4][emoji23][emoji16]
twende kwahoja US alijitoa WHO kwasababu zipi ambazo zakitaalam lkn sio blaa blaaa...Hoja ya US kujitoa iko wazi hata kwenye habari hii imeelezwa na wala sababu sio boss wa WHO kutong'atuka kama unavyotaka kupotosha hapa. Na hoja yangu mie ni mchina ajazie gap ili hiyo hatari anayosema itatokea kwa nchi maskini baada ya US kujitoa isitokee, Ila sasa nashangaa umeniQuote tofauti kabisa na hoja yangu niliyoandika hapa na pia tofauti kabisa na sababu za kujitoa alizoeleza Marekani. Sasa sijui lengo lako nini? Tufanye mjadala wa hoja ama tufanye mjadala katuni!!
Mpinzani wake katangaza akishinda anairudisha marekani who siku yake ya kwanza ofisinitwende kwahoja US alijitoa WHO kwasababu zipi ambazo zakitaalam lkn sio blaa blaaa...