Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Rais wa Philippines Duertete amesema serikali ya Marekani kupitia magaidi wa Islamic State wamevamia jimbo la mindanao na kuuteka mji Mkuu wake Marawi. Vita katika mji huo mkuu umechukua wiki 3 na mpaka sasa majeshi ya Philippines yameshindwa kuwaondoa wapiganaji ISIS. Raia na wanajeshi wengi wamepoteza maisha yao.
Toka Rais Duertete aingie madarakani ameonyesha chuki kubwa kwa nchi za magharibi mpaka ilifikia hatua kumwita aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama mwanaharamu, uhusiano wa nchi hiyo na marekani umezorota sana kiasi ambacho Rais Duertete aliamuru majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo. Hawa magaidi wa ISIS wanapigana huko Syria na Iraq kwa msaada wa serikali ya Marekani kupitia shirika lake la ujasusi CIA
Imebidi kwa Rais Duertete kuipigia magoti Marekani ili imsaidie vita hivyo. Kwa miaka mingi nchi ya Philippines ilikuwa na vita na kikundi cha kigaidi Abusayaf lakini haikuwa kutokea vita vikubwa kama zilizotokea wiki 3 zilizopita.
Toka Rais Duertete aingie madarakani ameonyesha chuki kubwa kwa nchi za magharibi mpaka ilifikia hatua kumwita aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama mwanaharamu, uhusiano wa nchi hiyo na marekani umezorota sana kiasi ambacho Rais Duertete aliamuru majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo. Hawa magaidi wa ISIS wanapigana huko Syria na Iraq kwa msaada wa serikali ya Marekani kupitia shirika lake la ujasusi CIA
Imebidi kwa Rais Duertete kuipigia magoti Marekani ili imsaidie vita hivyo. Kwa miaka mingi nchi ya Philippines ilikuwa na vita na kikundi cha kigaidi Abusayaf lakini haikuwa kutokea vita vikubwa kama zilizotokea wiki 3 zilizopita.