Marekani yafunga/kufunga balozi zake kwa muda katika baadhi ya nchi za Mashari ya kati na Afrika kutokana tishio la ugaidi. Nchi ambazo balozi zimeishafungwa na nyingine zitafungwa kufikia tarehe 10 mwezi huu, ni pamoja na: Abu Dhabi, Amman, Cairo, Riyadh, Dhahran, Jeddah, Doha, Dubai, Kuwait, Manama, Muscat, Sanaa, Tripoli, Antanarivo, Bujumbura, Djibouti, Khartoum, Kigali, and Port Louis.
Ni vizuri kwa wakati huu ambapo Tanzania inaendelea kwa kasi kujipatia marafiki wa Ulaya, Amerika na kwingineko kuchukua tahadhari ya usalama kutokana na baadhi ya nchi jirani kuionea kijicho.
Source: US extends embassy closures - Americas - Al Jazeera English
Ni vizuri kwa wakati huu ambapo Tanzania inaendelea kwa kasi kujipatia marafiki wa Ulaya, Amerika na kwingineko kuchukua tahadhari ya usalama kutokana na baadhi ya nchi jirani kuionea kijicho.
Source: US extends embassy closures - Americas - Al Jazeera English