Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,898
- 3,006
We mtu wa ajabu
Leo Kim ni Dikteta
Marekani kwako,ni mwema sana?!
Hivi!!!kuna mtu muovu na mbaya kama Marekani?!!!
Leo Kim ni Dikteta
Marekani kwako,ni mwema sana?!
Hivi!!!kuna mtu muovu na mbaya kama Marekani?!!!
Hii imekaa vizuri mno. Kim must go; wakorea waondokane na dikteta na dunia iwe mahali salama zaidi pa kuishi. Sote tuiombee Marekani na washirika wake dhidi ya dikteta katili Kim.