Cha Ajabu nini? Wako Rwanda miaka kibao sasa wana base huko,
Unapajua CHagos
Kisiwa hapo pembeni bongo wanamiliki na kuna Base kuubwa Sana tu.
Hapo raia mwingereza aliwahamisha badae wamarekani wakamvua mwingereza.
Kuna Military Base ya hatari hapo.
Mission zote karibia zinatokea hapo.