Kwa sasa Wamarekani hawana tofauti na wale maharamia wa Somalia waliokuwa wanazivamia meli na kuzichukua mateka, US wanavamia na kuiba meli za Venezuela, Cuba na sasa Iran, huu ni uharamia wa kitaifa(state sanctioned piracy).
Hicho wanachokifanya ndio u super power wenyewe!Kutoka kuwa super power hadi kuwa haramia ni aibu kubwa sana
Marekani haitatamalaki tena katika utukufu
Kwahiyo hata Somalia miaka ya nyuma kidogo kipindi wanafanya uharamia walikuwa superpower? Hivi kwanini mnavuta bangi huku mfukoni hamna hela?Hicho wanachokifanya ndio u super power wenyewe!
International law is fractured...Kwa sasa Wamarekani hawana tofauti na wale maharamia wa Somalia waliokuwa wanazivamia meli na kuzichukua mateka, US wanavamia na kuiba meli za Venezuela, Cuba na sasa Iran, huu ni uharamia wa kitaifa(state sanctioned piracy).
HeheheKwa sasa Wamarekani hawana tofauti na wale maharamia wa Somalia waliokuwa wanazivamia meli na kuzichukua mateka, US wanavamia na kuiba meli za Venezuela, Cuba na sasa Iran, huu ni uharamia wa kitaifa(state sanctioned piracy).
🤣🤣🤣Kwahiyo hata Somalia miaka ya nyuma kidogo kipindi wanafanya uharamia walikuwa superpower? Hivi kwanini mnavuta bangi huku mfukoni hamna hela?