STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,599
Hawa jamaa nikiwambia ni vilaza wanakataa na kukasirikaWw ni msabato ndo matango pori yenu mnalishwaa kila siku..ati USA ndo ufalme wa mwisho kwenye biblia..mara ni taifa la kinabii..sasa ww huoni walivyo duni! Putin alikuwa na supersonic bomb long time ago..mana yake yuko na bombs zaid ya hiyo..wao wanatest leo..wakat wenzao wanazitumia kila kukichaaa

, matango yao pori wapeleke huko
! na siku ikiamsha hiyo chombo hakiyanani Biden ,atakata pumzi hata kabla ya chombo haijatua .