twahil
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 4,100
- 2,796
We karumekenge unadhani hayo uliyoeleza hapo juu hata nchi zilizotutawala hayapo?. Wewe binafsi umefanya lipi la kuiendeleza familia yako achilia mbali taifa?. Kazi kulalama tu kichwa naziArgument yako bado inakuonyesha jinsi ulivyo bulicheka. Tuna utajiri wa kutosha lakini poor planning na u selfish wa viongozi ndio unaturudisha nyuma. Jiulize huu uchaguzi wa marudio wa kulazimisha umegharimu kiasi gani cha fedha ? Jiulize ule Mkutano wa katiba mpya uligharimu kiasi gani na katiba iko wapi? Jiulize yale mabasi ya mwendo kasi pale jangwani na ujenzi wa infrastructure yake dar vimegharimu kiasi gani? Jiulize hela ya ESCROW ilikuwa kiasi gani na iko wapi? Ukijumlisha haya yote kwa ukalumekenge wako jibu unalopata ni "yote hayo ni kwa sababu wazungu walitutawala muda mrefu! " give me a break!!!